Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mada inahusu uchambuzi sio namna mtu anavoongeaJamaa havutii kwenye kuongea
Uchambuzi unaendana na uongeaji mzeeMada inahusu uchambuzi sio namna mtu anavoongea
Uchambuzi unaendana na uongeaji mzee
Poleee sana hajafikia kiwango icho ila nimzurNyoko zako we mukuu 123, Geoge Ambangile hapa bongo hana wa kufananishwa.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaMm ni mshabiki wake mkubwa Ila kila kikifika kipindi cha sports bar unakuta nimelewa so
Nahisi anaongea kichina Zaidi kumbe ni kiswahili
sawa kiemba tumekusikiaKwa wachambuzi wa mpira wa league ya Bongo hakuna wa kufikiria uyu jamaa yupo vizuri sana hasa kwa kujenga hoja na kiufundi achana na hao wengine wenye blah blah nyingi kama wa kina ambangile.
Prof nimekutext inbox kuna vitu nimekuuliza naomb ukanijibu tafadhalOf course yupo vizuri sana na anachambua kwa fact, shidahavutii kumsikiliza