Tukio la kumtoa goalkeeper lilitokana na kuruhusu goal la pili la Yanga muda mfupi Jamp alimtoa goalkeeper huku akionekana akilalamika na hata hakumpa mkono wa kumpongeza hali ilioashiria kuwa yy alifanya makosa binafsi namlaumu sana Jamp hakufanya kitendo cha kiungwana hata kama aliona amefanya makosa asingeonyesha hali ya kumlaumu wakati ule Stam kwa stail hyo utahama timu nyingi sana