Uchaguzi 2020 Amsterdam aomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Dawa yao ni hii hapa, wakiendelea kupiga kelele ataongea na Mungu tena.

Naomba Tazama haka ka video. Wakati unatazama chukua na soda moja nakuja kulipa


Hahahaha hatimae yametokea
 
Usijibu swali kama Mtoto. Unajua kosa la kufoji kama ni wapinzani wangeachwa tu hivi hivi usitoe majibu mepesi kwa hoja nzito ujui kaa kimya chunga ulimi wako
Hiyo sio kuforge ni kuprint, mbona waliomkamata nayo haoneshwi, utaoneshaje bidhaa zilizoibwa bila kuonesha mwizi
 
CCM Hapa kazi wanayo!
Mnaombeza Amsterdam hamumjui, yule ni wakili wa kimataifa anajua vyombo vya kukamatia kupambana na serikali korofi!
Anataka nchi mjanja yule, hawezi kusaidiwa maana nchi haina habari na machafuko
 

Nakusikitikia, wewe huna tofauti na mtu mzima mwendawazimu anayetembe uchi barabarani, wanatokea watu wamvishe nguo kuficha aibu yake ila yeye anawacheka na kuwauliza kama wana kichaa🙄

Umeamua kum bong'olea bobuamstadamu sasa mmeshindwa subirini tuu kuachika. Hapo ndio mtajua Bobu na wenzie hawawataki nyie ila wanataka kuwafilisi mali zenu kwa kuwashikilia akili zenu.

Watu kama wewe ndio wamesababisha hii nchi iitwe nchi maskini kwa miaka 60 ya uhuru. Sasa tumeamua sisi tunaojitambua tunaenda na John Pombe Magufuli
Nikutakie safari njema kwenda ubelgiji
 
Kwani wewe internet unaitumiaje? Internet inaweza kuwa chanzo cha elimu kubwa sana kwako wewe. Knowldge and information. Inaonekana hauko informed kabisa. Hayo ndiyo madhara uliyonayo. Mindset yako: Yaani akili yako ilivyojipanga na akuathiriwa na brainwash ya CCM ni immense, undeniable. Hujui kitu. Wewe unafikiri wazungu wanapenda kuja Tanzania? Hawapendi, wote naowajua mimi na majirani zangu hawaji huko ka sababu wanajua quality ya life ya hali ya chini mno. Yaani unpoenda kwenye nchi kama Tanzania lazima uwe na Insurance kubwa sana, mana hakuna hospitali standard, lazima ukodiwe ndege, sasa wengi wanaogopa kuja. This is not a joke. Hata wachina wanaokuja huko ni wale masikini, wenye pesa wanaenda ulaya na North america. Acha upambavu soma google utajua nchi zipi za kwenda kwa life.

CCM 60 years hamjafanya kitu mnazingizie ati mna mali nyingi sana, zipi hizo, taja moja au mbili ukiacha Tanzanite na Helium. Again huna technology hata chembe. You are beggars, big time beggars who cannot feed by yourself.

Sasa Lisu anakwambia JPM yeye na mpwa wake Doto na Mayanga wanaiba pesa ati unamchukia Lisu, you must be sick to the core, again to the core!
 
Kesho utakuja kutueleza damu lita ngapi imemwagika.
Watanzania hawana huo muda wa maandamano.
Ingekuwa lengo kuandamana kupinga matokeo watu wangenzisha reactions hapo hapo kwenya kata pindi matokeo yanasomwa.
Sasa matokeo ya udiwani kwenye kata hola watu wametulia, matokeo ya ubunge kwenye majimbo hola wametulia. Matokeo ya uraisi watu ndio kwaaaanza wameendelea na shughuli zao za kila siku.Supu ya mbwa inanyweka ikiwa ya Moto, Sasa mmesubir imepoa.
Wewe unasubiri damu. Labda damu ya ng'ombe zikiwa machinjioni.
Kwenye mitandao mlimsupport Mange na opereshen UKUTA yenu lakin siku ya tukio Hali ilikiwa shwali kabisa hakuna hata aliyepiga miruzi. Sasa mitandao hakuna.

Kwa ufupi hakuna mtanzania kichaa aache shughuli zake amsapoti Mbowe arudishiwe Jimbo.
Lisu na Amstadamu waendelee kuandika vitisho kwenye legal papers kwenda kwenye jumuia za kimataifa hakuna kitakachofanyika. Bora hata Wakili msomi Kibatala huwa tunamuelewa kwa hoja zake kuliko huyo Amstadamu. Amstadamu ndio kawaletea shida yote hii, mtanzania hawez kuamlishwa kutoitambua serikali na mzungu wa Twitter.
Hakuna mwaka wamewahi tambua kosa lolote na kukubali wameshindwa ili wajipange upya.

Huko kwenu wakiandamana record clip hata ya sekunde 10 uje unitag mkuu.
 
tundu njaa inamtesaa anataka mandate ya kutumia pesa za watanzania njaa mbaya jmn
 

Endelea kuwasujudia hao mabwana zenu na tuachieni nchi yetu tupambanie tunachokitaka. Mmetekwa msitake na sisi tuingie mateka kama nyie. Sasa kama wewe una raha huko ulipo na sisi tuna raha huku tulipo kinachokutesa moyo hadi kutamani niamini unachokiamini wewe ni nini? Tupeane nafasi na tuheshimu maamuzi ya kila mmoja

Waambie vibaraka wenzio watanzania wamegundua hila zenu na wameamua kwenda na John Pombe Magufuli

UKIWAONA HAWA KATIKA MAANDAMANO, ANDAMANA!!
---------------------------------

1. Ukimuona Dudley, mtoto wa kwanza na Freeman Mbowe na wadogo zake wakiongoza maandamano nawe andamana. Freeman Mbowe pekee hatoshi, yeye hawezi kupigwa risasi hata moja. Nafasi yake ya Uenyekiti wa Chama kikuu cha Upinzani nchini inamlinda, ni jicho la Dunia anatazamwa, hakuna risasi inayoweza kuelekezwa kwake hata moja. Pale Mkwajuni Kinondoni risasi ilimkwepa Mbowe ikamuua Akwiline Akwelina. Wazazi wake wanalia hadi sasa, hakuna kitu. Usipowaona watoto wa Freeman Mbowe usiandamane!!

2. Ukimuona Alicia Magabe na watoto wake wa damu andamana. Alicia ni mke wa Tundu Lissu ambae Urais wa Lissu unamhusu zaidi kuliko mimi na wewe. Ukimuona Tundu Lissu peke yake usidanganyike kuandamana. Lissu ndie aliegombea Urais kwa Chama kikuu cha upinzani akiungwa mkono na ACT Wazalendo, huyu ni icon ya uchaguzi, ndie mwanamkakati ktk maandano hayo. Dunia yote ipo kwake, akifa hakuna cha kujificha, mission INATIKI.

Hakuna Askari mpumbavu anaweza kulenga shabaha ktk mwili wa Lissu, risasi zitaelekezwa kwako. Utakufa na si ajabu usifahamike, taarifa zako hazitofika popote, utakufa kama Mbwa, utazikwa siku inayofuata ktk kabuli la futi mbili au usizikwe kabisa. Usipomuona Alicia na wanawe, usiandamane!!

3. Ukimuona Bi Fourtuna Salehe na Bi Aweina Sinani na watoto wao katika maandamano andamana. Hii ni familia ya Maalim Seif ambayo inasemwa kuwa imepelekwa Oman mafichoni tayari. Wanasema watu wameuawa Zanzibar lkn hakuna jina la mtoto wa Maalim Seif wala wa mtoto wa Jussa hata moja. Usiwe mjinga, hukuzaliwa kuwa chambo, hukuzaliwa kwa ajili ya Urais wa Maalim au Lissu. Wakiwa Marais wewe haitokusaidia chochote. Usipomuona mtoto wa Maalim Seif, wake zake na familia yake jilalie zako nyumbani hauna cha kupoteza.

4. Ukimuona Anna Bwana, Wiza na Josina ktk maandamano yaliyoitishwa na wewe ungana nao, andamana kwa moyo mkunjufu kabisa. Hii ni familia ya Zitto Kabwe, akiwa peke yake muache aendelee na kazi yake. Zitto Kabwe ni Kiongozi wa Chama cha upinzani (KC), ni jicho la Dunia hawezi kupigwa risasi taratibu za kuzuia maandamano zinamtambua na kumlinda. Usipomuona mke wake, watoto na ndugu zake wengine achana na kazi hiyo haina faida itakupeleka kuzimu bure.

5. Ukimuona Askofu Bagonza na mkewe, na watoto wake wote ktk maandamano andamana. Akiwa peke yake muombee kwa Mungu, usijiunge nae. Ukimuona Lema na watoto wake, Sugu na mke wake na watoto zake, Msigwa na wadogo zake kutoka Iringa, Heche na mkewe na watoto wake andamana.
Ukiwaona wao peke yao usiandamane, Ubunge na Urais wao hauna maana yoyote kwako. Maisha yako ni ya kwako peke yako, pambana!!
#USIANDAMANE!!

Na Stephano Mgendanyi
 
Anaomba kama nani? Na kwa sababu zipi?
 
Hebu jaribuni.
Iraq ilichukuliwa baada ya siku 23, na ujue jeshi la Iraq lilikuwa miaka 200 zaidi ya Tanzania (Yaani itaichukua Tanzania ya leo kufikia jeshi la Iraq la wakati ule, na miaka 1000 kufikia la marekani)
Libya ilikuwa siku 15 kwisha

I bet Tanzania itachkua siku tatu kuwaning'iniza na kumchkua bwana yule

Msiseme hamkuambiwa, hvyo vifuu vyenu vya kichina sijui vitatu!! haaaa, ohhh ndge ziko tatu
 
Kwanini aende kwa lawyer mzungu, wazungu tunawajua hata kwenye historia imeandikwa bhana.. unaona huyo mzungu ndo ana uzalendo sana na nchi yako eeh..
 

Basi farijianeni kwa maneno hayo🤝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…