Nitoe ushamba ndg. yangu...hivi amucta ni chuo gani..??
*not an offence nor an insult
habari wadau.hivi inakuwaje kwa chuo cha amucta,wanafungua tar 16,sept,wakat tcu,wamefanya mabadiliko ya watu walobadili vyuo.hawaon kufungua tarehe hyo ni kuwanyima watu haki? au wamebadil tarehe ya kurpot? wenye tarifa zaid,mnijuze
habari wadau.hivi inakuwaje kwa chuo cha amucta,wanafungua tar 16,sept,wakat tcu,wamefanya mabadiliko ya watu walobadili vyuo.hawaon kufungua tarehe hyo ni kuwanyima watu haki? au wamebadil tarehe ya kurpot? wenye tarifa zaid,mnijuze
Saut wanafungua trh 24 kama sijakosea...not approved