Amucta na ratiba ya kufungua chuo

kajaga88

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2013
Posts
228
Reaction score
31
habari wadau.hivi inakuwaje kwa chuo cha amucta,wanafungua tar 16,sept,wakat tcu,wamefanya mabadiliko ya watu walobadili vyuo.hawaon kufungua tarehe hyo ni kuwanyima watu haki? au wamebadil tarehe ya kurpot? wenye tarifa zaid,mnijuze
 
Nitoe ushamba ndg. yangu...hivi amucta ni chuo gani..??

*not an offence nor an insult
 
habari wadau.hivi inakuwaje kwa chuo cha amucta,wanafungua tar 16,sept,wakat tcu,wamefanya mabadiliko ya watu walobadili vyuo.hawaon kufungua tarehe hyo ni kuwanyima watu haki? au wamebadil tarehe ya kurpot? wenye tarifa zaid,mnijuze

mbona Mwuce wameanza masomo leo
 
habari wadau.hivi inakuwaje kwa chuo cha amucta,wanafungua tar 16,sept,wakat tcu,wamefanya mabadiliko ya watu walobadili vyuo.hawaon kufungua tarehe hyo ni kuwanyima watu haki? au wamebadil tarehe ya kurpot? wenye tarifa zaid,mnijuze


Saut wanafungua trh 24 kama sijakosea...not approved
 
Mwenyewe nimeapply apo 3rd round na majina hayajatoka bado inakaje waanze mapema au ndo wametuchinjia baharini..!
 
hiyo tar 16 ni kuanza kwa usajili wanafunzi na wala c kuanza masomo rasmi.2we waangalifu vijana
 
na usajili pia,kwetu cc wengne maumiv,mpaka pale bod watakapo release majina,kwan uwezo kujilipia,ha2na
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…