ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,938
- 6,942
Ukiangalia kikosi kinachoa anza, ni rahisi hata kubet na kuiua stars. Kocha huyu hajifunzi hata mechi ya kule verde, wachezaji waliobadilisha mchezo bado amewaweka benchi.
Hivi ametumia akili gani kumweka John Boko dk ya 85? Au anatuhujumu anaona tutawasumbua nigeria?
Aisee, mh Rais, tunataka hela zetu, haiwezekani tupoteze hela kwa wajinga hawa. Yaano hata thamani ya ikulu hawajaiona!
Tuna watu ambao siyo wazalendo kabisa.View attachment 938686
Hivi ametumia akili gani kumweka John Boko dk ya 85? Au anatuhujumu anaona tutawasumbua nigeria?
Aisee, mh Rais, tunataka hela zetu, haiwezekani tupoteze hela kwa wajinga hawa. Yaano hata thamani ya ikulu hawajaiona!
Tuna watu ambao siyo wazalendo kabisa.View attachment 938686