mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Kocha Emanuel Amunike katolewa kafara.Mchawi wa Taifa Stars ni Rais wa TFF na wasaidizi wake.Nilitarajia Rais wa TFF kama kaamua kumfukuza Kocha Amunike basi na yeye Rais wa TFF angejiuzulu. Watanzania tuwe na ujasiri wa Kuwajibika ili tuwapishe na wengine wafanye kazi tukubali kushindwa.
Bora wamrudishe Macio maxcimo au kim paulsen.Hata Ulaya Makocha Timu Ikifungwa Wanafukuzwa
Kama Amunike ni janga basi aliyemleta ni zaidi ya Janga walistahili wajiuzulu wawapishe watanzania wengineHata kama tff ni janga, ila Amunike alikuwa ni zaidi ya janga.