GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Safi wewe mwanaume wa huko nchini Indonesia kwani hata Mimi GENTAMYCINE huwa Nakerwa mno na maswali ya kikuda na ya kijinga kijinga kama hilo uliloulizwa na ukaamua kabisa kumdedisha mtu (Jirani yako) huyo.
Mtu hunilishi, hunivalishi na wala hujachangia chochote katika maisha yangu na ada zangu shuleni na vyuo vikuu lakini kutwa tu una kiherehere na kuwashwawashwa kwako kwingi kuniuliza GENTAMYCINE kwanini mpaka sasa sijaoa mara kwanini unapenda wanawake na mengineyo.
Kuna watu wana maswali ya Kikuda sana hapa Duniani na nadhani alichokifanya huwa Mwamba wa nchini Indonesia ni sawa sawa na ndiyo Dawa yao. Unakuta Mtu anakuuliza GENTAMYCINE kwanini Mkeo mpaka sasa hazai? au kwanini Mkeo anazaa sana Watoto wa Kike tu?
Ngoja nitafute Nauli niende Kumtembelea huyu Mwamba wa Indonesia huko Jela atakakokuwa kwani Kanifurahisha.
Mtu hunilishi, hunivalishi na wala hujachangia chochote katika maisha yangu na ada zangu shuleni na vyuo vikuu lakini kutwa tu una kiherehere na kuwashwawashwa kwako kwingi kuniuliza GENTAMYCINE kwanini mpaka sasa sijaoa mara kwanini unapenda wanawake na mengineyo.
Kuna watu wana maswali ya Kikuda sana hapa Duniani na nadhani alichokifanya huwa Mwamba wa nchini Indonesia ni sawa sawa na ndiyo Dawa yao. Unakuta Mtu anakuuliza GENTAMYCINE kwanini Mkeo mpaka sasa hazai? au kwanini Mkeo anazaa sana Watoto wa Kike tu?
Ngoja nitafute Nauli niende Kumtembelea huyu Mwamba wa Indonesia huko Jela atakakokuwa kwani Kanifurahisha.