Amuua jirani yake baada ya kuchoshwa na maswali yake ya kikuda kila siku kumuuliza ataoa lini

Amuua jirani yake baada ya kuchoshwa na maswali yake ya kikuda kila siku kumuuliza ataoa lini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Safi wewe mwanaume wa huko nchini Indonesia kwani hata Mimi GENTAMYCINE huwa Nakerwa mno na maswali ya kikuda na ya kijinga kijinga kama hilo uliloulizwa na ukaamua kabisa kumdedisha mtu (Jirani yako) huyo.

Mtu hunilishi, hunivalishi na wala hujachangia chochote katika maisha yangu na ada zangu shuleni na vyuo vikuu lakini kutwa tu una kiherehere na kuwashwawashwa kwako kwingi kuniuliza GENTAMYCINE kwanini mpaka sasa sijaoa mara kwanini unapenda wanawake na mengineyo.

Kuna watu wana maswali ya Kikuda sana hapa Duniani na nadhani alichokifanya huwa Mwamba wa nchini Indonesia ni sawa sawa na ndiyo Dawa yao. Unakuta Mtu anakuuliza GENTAMYCINE kwanini Mkeo mpaka sasa hazai? au kwanini Mkeo anazaa sana Watoto wa Kike tu?

Ngoja nitafute Nauli niende Kumtembelea huyu Mwamba wa Indonesia huko Jela atakakokuwa kwani Kanifurahisha.
 
Safi Wewe Mwanaume wa huko nchini Indonesia kwani hata Mimi GENTAMYCINE huwa Nakerwa mno na Maswali ya Kikuda na ya Kijinga Kijinga kama hilo uliloulizwa na ukaamua kabisa Kumdedisha Mtu ( Jirani yako ) huyo.

Mtu hunilishi, hunivalishi na wala hujachangia chochote katika Maisha yangu na Ada zangu Shuleni na Vyuo Vikuu lakini kutwa tu una Kiherehere na Kuwashwawashwa Kwako kwingi kuniuliza GENTAMYCINE kwanini mpaka sasa Sijaoa mara kwanini unapenda Wanawake na mengineyo.

Kuna Watu wana Maswali ya Kikuda sana hapa Duniani na nadhani alichokifanya huwa Mwamba wa nchini Indonesia ni sawa sawa na ndiyo Dawa yao. Unakuta Mtu anakuuliza GENTAMYCINE kwanini Mkeo mpaka sasa hazai? au kwanini Mkeo anazaa sana Watoto wa Kike tu?

Ngoja nitafute Nauli niende Kumtembelea huyu Mwamba wa Indonesia huko Jela atakakokuwa kwani Kanifurahisha.
Matatizo ya afya ya akili yapo Kila mahali. Hasira hasara
 
Safi Wewe Mwanaume wa huko nchini Indonesia kwani hata Mimi GENTAMYCINE huwa Nakerwa mno na Maswali ya Kikuda na ya Kijinga Kijinga kama hilo uliloulizwa na ukaamua kabisa Kumdedisha Mtu ( Jirani yako ) huyo.

Mtu hunilishi, hunivalishi na wala hujachangia chochote katika Maisha yangu na Ada zangu Shuleni na Vyuo Vikuu lakini kutwa tu una Kiherehere na Kuwashwawashwa Kwako kwingi kuniuliza GENTAMYCINE kwanini mpaka sasa Sijaoa mara kwanini unapenda Wanawake na mengineyo.

Kuna Watu wana Maswali ya Kikuda sana hapa Duniani na nadhani alichokifanya huwa Mwamba wa nchini Indonesia ni sawa sawa na ndiyo Dawa yao. Unakuta Mtu anakuuliza GENTAMYCINE kwanini Mkeo mpaka sasa hazai? au kwanini Mkeo anazaa sana Watoto wa Kike tu?

Ngoja nitafute Nauli niende Kumtembelea huyu Mwamba wa Indonesia huko Jela atakakokuwa kwani Kanifurahishdah
safi sana
 
safi sana
Huwa nawapenda sana Watu wenye Maamuzi ya Kibabe kama ya huyu Mwamba Indonesia na Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu. Eti mbona huoi tu? Njoo Wewe basi Uibenjue ili Nikuone na uridhike. Mkuu hata hapo Bongo kuna Watu wana Maswali haya haya ya Kikuda kama ya huyu Pimbi Jirani aliyeuliwa. Hunilishi lakini una Kiherehere cha kujua Maisha yangu na hata kutaka Kunipangia Kudadadeki.
 
Huwa nawapenda sana Watu wenye Maamuzi ya Kibabe kama ya huyu Mwamba Indonesia na Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu. Eti mbona huoi tu? Njoo Wewe basi Uibenjue ili Nikuone na uridhike. Mkuu hata hapo Bongo kuna Watu wana Maswali haya haya ya Kikuda kama ya huyu Pimbi Jirani aliyeuliwa. Hunilishi lakini una Kiherehere cha kujua Maisha yangu na hata kutaka Kunipangia Kudadadeki.
ahhahahah ndugu GENTAMYCINE hiyo ni kweli ayo mambo yapo sana hasa uko maeneo ya makazini au kwenye mkusanyiko wawatu fulani utasikia maswali yao unasubiri nini kuoa umri unakwenda huo tafuta ata changudoa muweke ndani uishi naye shauri yako.........mimi huwa nacheka tuuu mtu hajui ata status ya maisha yako ipoje noma sana
 
Unamuuliza Mtu kwanini haoi Wewe unayajua Maisha yake au anayoyapitia au kwanini kaamua Kutokuo? Acheni muuliwe tu.
Hata mi sijaoa, ila mtu akiniuliza siwezi kumuua Bali namshit tuu,. Ninaishi maisha yangu na maneno yao hayana impact yeyote. Wengine wameumbwa kuongea, anaweza kuua wengi sana
 
Back
Top Bottom