mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mwingine akiwa na kitu kina mkera na hawezi kutafuta mpaka alewe. Huenda Huyu alikusudia akaenda kulewa ili kutoa woga na simanzi.Kumbukeni kuwa alilewa "Pombe"
Ahsante kwa kuniita. Nimesikitika sana. yaani mie ninavyowatamania wenye mama basi tu, hadi nilishasahau hata neno "shikamoo mama" RIP mama yangu tunakukumbuka na tunakuombea Mungu akulaze mahala pema peponiCHIKIRA MTABARI njoo shosti uone mambo ya wahenga