Amuua mke wake usiku baada ya kumnyima unyumba, naye ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Amuua mke wake usiku baada ya kumnyima unyumba, naye ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,126
Reaction score
5,068
MAUWAJI YA KUKUSUDIA YA YAMPELEKEA KUNYONGWA HADI KUFA

Taitus Malambwa Miaka 28 Mkazi wa kijiji cha Ntibili Mpimbwe Wilaya ya Mlele Mkoa wa katavi amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Mke wake baada ya kukasiri kunyimwa na Mkewe tendo la ndoa.

--

Jukumu moja wapo la kuolewa/kuoa ni tendo la ndoa, jamani msinyimane hata maandiko matakatifu yameeleza wazi, mpaka muwe na makubaliano haswa katika kufunga na kuomba.

Nami mshale21 nawaasa wanandoa msinyimane pasipo makubaliano, na endapo mwezi wako ni mgonjwa, ama yuko katika siku zake (kwa upande wa wanawake) ili kupunguza maafa. Maana nguvu kazi inapotea sana kwa sababu ya migogoro ya kifamily!

Malambwa.jpg

PICHA: Taitus Malambwa​
 
View attachment 2356317
Jukumu moja wapo la kuolewa/kuoa ni tendo la ndoa, jamani msinyimane hata maandiko matakatifu yameeleza wazi, mpaka muwe na makubaliano haswa katika kufunga na kuomba.

Nami mshale21 nawaasa wanandoa msinyimane pasipo makubaliano, na endapo mwezi wako ni mgonjwa, ama yuko katika siku zake (kwa upande wa wanawake) ili kupunguza maafa. Maana nguvu kazi inapotea sana kwa sababu ya migogoro ya kifamily!
Ndio maana biashara ya malaya itaendelea kutusua tuu.
 
View attachment 2356317
Jukumu moja wapo la kuolewa/kuoa ni tendo la ndoa, jamani msinyimane hata maandiko matakatifu yameeleza wazi, mpaka muwe na makubaliano haswa katika kufunga na kuomba.

Nami mshale21 nawaasa wanandoa msinyimane pasipo makubaliano, na endapo mwezi wako ni mgonjwa, ama yuko katika siku zake (kwa upande wa wanawake) ili kupunguza maafa. Maana nguvu kazi inapotea sana kwa sababu ya migogoro ya kifamily!

Mungu arehemu vizazi vyetu
 
We kama hutaki kukitoa nani alikutuma uolewe

Sema jamaa angembaka tu hapo hawezi kuwa na kesi kuliko kumuua

Kaenda jela kizembe
 
Back
Top Bottom