Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbeya hapana, nakataaMwanza, mara, geita, katavi, tabora, dar es salaam, mbeya na rukwa.
Unadhani ni kumnyima tu utamu ndiyo iwe sababu?Kumbe mkinyimwa mnakuwa kama mbogo[emoji23]
Ndoa ngumu[emoji3064]
Hivyo ni lazima ukiombwa utoe?
Sasa kama mtu hajisikii[emoji23][emoji23][emoji23]
Au basi,niendelee kucheza na kuku hapa home[emoji1435]
Mkuu we si nakuonaga na mabango ya kupinga PUNYETO sasa leo imekuaje?Si angechukua sabuni tu kwa mda
Jingine lipi hilo mkuu?Nionavyo kuna lingine limejificha zaidi ya huko kunyimwa unyumba.
MsibaMkuu we si nakuonaga na mabango ya kupinga PUNYETO sasa leo imekuaje?