Duh!!
Yote hiyo inatokana na umasikini...WA KILA KITU.
Ndio maana nikasema ni umasikini wa kila kitu..kifedha..kifikra..kiakili n.ksio umasikiniumasikini ni trigger factor tu,hilo ni tatizo la mental fitness,hata matajiri wanakuwa nalo
Tumepokea Taarifa hii kwa masikitiko makubwa sana.. Iwaje mtu umuue mwenzio tena kinyama na Shoka kisa umepunjwa kitoweo Jamani Tunaenda wapi?.. na kwa mtindo Huu tutafika? Basi Bofya hapa usome kisha tulizungumzie swala hili