Amuua mkewe, na yeye kujiua kisa mzozo mume kuuza vitu vya ndani

Unatafuta basha ukunwe? Wewe si wakuongea kwani baba si kawarihusu mkish fir**a mubarikiwe katika madhabahu ya bwana?

Kwani SHAKAHOLA wamemaliza kufikia maiti

Tafuta basha akubaramie ukenda kwenye madhabahu utabarikiwa tuu
Naona kobazi la pili hapa linatoa shombo.Hapo jamaa anaenda kukutana na mabi
 
Mtu kapona kunyongwa mara ya kwanza, mwenyekiti haoni ulazima wa kutoa taarifa polisi na kumlinda huyo Mama? Elimu hizi?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
TAFUTENI PESA NA UFALME WA MUNGU.

HIVYO VINAWEZA KUWA NA MSAADA WA MATATIZO YENU YA MARA KWA MARA.
 
Mtu kapona kunyongwa mara ya kwanza, mwenyekiti haoni ulazima wa kutoa taarifa polisi na kumlinda huyo Mama? Elimu hizi?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Mwenyekiti Hana kosa, maana aliwasiliana na ndugu wa Binti na alikuja kuchukuliwa na kaka yake, Binti na kaka yake ndio wakaamua warudi Kwa jamaa
 
Kilemba cha kiume! makubas team.

Alikusudia kuua. Kama alijaribu kwa waya wa umeme halafu kanyonga kwa mikono, huyu ni gaidi[emoji23][emoji23]

Mwanamke naye mjinga. Alinusurika halafu akarudi tena.
Aiseee nikivyoona tu wameandika kilemba cha kiume nikajua tu ni alshabaab
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…