Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Dini imesema wapi kwamba tuwaue? Mungu mwenyewe si awaue, kwanini atusakizie dhambi ya mauaji? Kwanini anashindwa
 
Kwanini amekimbia??
Angebaki ili tujue kweli alikua ana uchungu,

Tena mwambieni atakamatwa na atakua chakula huko huko Jela

Damu ya Mtu hua haimwagiki bure
 
We jamaa mbona unakazana kuyatetea haya majitu? Dunia nzima tukiamua kuteketeza ushoga ni kuyaua tu kama ambavyo Mungu alifanya kule sodoma....Tuige mfano kutoka kwa boss mwenye dunia yake.
Boss mwenye dunia yake ni yupi?
 
Mnajificha kwenye kivuli cha dini kuhalalisha ukatili,

Hebu nikumbushe na Amri 10 za Mungu
 
kwa upande wangu kuuwawa kwake ni sawa kwa sababu mimi naamini katika dini, huwezi kujinasibu kuwa wewe ni mkristo au muislamu halafu ukataka kwenda against na hiyo dini.
Ni matendo mengi yanaenda against na dini na hatuoni mkiwaua walioenda against.
Iweje hili mlishupalie sana, kuna siri gani imejificha?
 
Kwanini amekimbia??
Angebaki ili tujue kweli alikua ana uchungu,

Tena mwambieni atakamatwa na atakua chakula huko huko Jela

Damu ya Mtu hua haimwagiki bure
Kwanini amekimbia kwenda kujificha wakati ni halali kuua shoga?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Angebaki apewe tuzo ya kupigana na dhambi.

Nchi ina ujinga mwingi sana hii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sodoma na Gomora waliangamizwa na hawa wa sasa hivi wametoka wapi???
 
Kwanini amekimbia kwenda kujificha wakati ni halali kuua shoga?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Angebaki apewe tuzo ya kupigana na dhambi. it

Nchi ina ujinga mwingi sana hii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo sasa,
Ilitakiwa atoke kifua mbele huku akipigiwa makofi kua yeye ni shujaa ameua Shoga sababu Walawi imesema Mashoga wauwawe na yeye katelekeza
 
Kwani na wewe wanakuweka?
 
Na sitaki yanikute, mtoto wangu aje anitambulishe mwanaume mwenzake et ndio mchumba yaani yeye pamoja na mchumba wake miguu itawaokoa, hatupaswi kulea huo ujinga kabisa, kwahiyo wewe Kwa mwanao utagurahia na kumfanyia sherehe sio??
Hata huyo mwanaume mwenzake aliyetambulishwa ameponaponaje? alitakiwa nayeye aende na maji,hivi mnaanzaje kutoka na ndevu zenu mnaenda eti kutambulishana kwa wazazi wa mtu
 
Mimi mwenyewe sidhani Kama nitaweza kuvumilia,achana na mtoto uwe angalau hata Ni brother
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…