Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Halafu huyo mpaka leo hajui kama kuna “wamatumbi” wanawafundisha waarabu Dini?

Nimewakumbuka “Wamatumbi” Shaikh Muhammad Amaan al Jami na Shaikh Muhammad Adam al Ethiopi (Allah awarehemu).

Kwetu sisi Waislam elimu haina mwenyewe, elimu ina watu wake (na watu wake ni wale walioichukua).
Hawa siyo watu wa Elimu na kufatilia mambo, ndiyo maana wamekuwa kama wanyama. Hii ni laana, yaani wamekuwa vipofu kabisa wa akili mpaka moyo. Hajui ya kuwa Imamu wa lugha ya Kiarabu hakuwa Muarabu, ambaye ni Sibawayhi.

Katika Wamatumbi wenzetu umemsahau Shaykh Abdulrahman bin Awfi Koni, huyu ni mwanachuoni mkubwa wa Lugha ya Kiarabu, ulienda leo Madina, kwenye lugha ya Kiarabu anarejewa yeye. Ukisoma tarjama ya Shaykh Abdullah bin Abdulrahiim Al Bukhariy Allah amuhifadhi, Shaykh Bukhariy anasema amesoma "Mulhatul I'raab" kwa Shaykh Abdulrahman bin Awfi Koni.

Kama ulivyosema elimu ina watu wake haina mwenyewe.
 
Ndio sio maadili ya kiafrika wala dini haziruhusu. Sasa niambie kwanini amue mtoto kisa kaleta mpenzi wake nyumbani? Huoni kama kila mtu atajicjukulia sheria mkononi tutafika kweli?
Shoga siyo mtu, kifo ni halali yake. Huyo baba mzazi anastahili pongezi
 
Hizi comments ni theory, ila practical sasa ndo tatizo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata ww unaweza ukafanyiwa hiyo practical..acha kujimwambafai sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena najimwambafy nitakavyo, nimezaliwa kwenye wazazi walio elimika na kustaarabika. Poleeerrrr sanaaaa.
Kwahyo wazazi wako wanajua ww ni shoga?
 
Si mtoto wakehata hivyo,ni kama amapiga nyeto tu kaua bao lake,,..jicho lako likikutia hatiani ling’oe tu
 
Back
Top Bottom