Amvumiliee??


huyu dada lazima ajaribu kumjua huyo jamaa yake kabla hajaanza kulaumu hamjali.tumelelewa kutoka mazingira tofauti jamani.wengine mazingira tuliyolelewa hata kambi ya jeshi ina afadhali.so tafsiri ya neno "kujali" lazima itatofautiana.wengine utotoni tu unakaa mwezi hujaongea na baba wala mama wa kambo wakati unaishi nao nyumba moja.unamaliza matatizo yako kwa njia mbadala, sasa mtu kama huyu lazima awekwe sawa kwa muda mrefu kabla hajasimama na kuonesha anajali
 

pole sana mleta mada...naomba uweke details za kujaliwa anazolalamikia huyo shosti wako ili tuweze kujua kweli hajaliwi au she demands more than that na analazimisha kudekezwaa???...

pili.. mwambie shost wako sifa kubwa ya mwanaume sio kujali ni kupenda ndio maana watu wa musoma wakurya ili aamini kuwa mtu wake anampenda inabidi awe ana-mchapa na kumpigapiga kuonyesha wivu alonao juu yake( ikumbukwe mpaka sasa wivu ndio kipimo cha penzi la dhati mtu alokuwa nalo juu ya mwenzi wake) hakuna kipimo kipya cha penzi kilichogunduliwa duniani so far zaidi ya wivu.

tatu...mwambie shosti wako so far by 90% of my critical analysis inaonyesha yeye ni kicheche sababu ana-date kisiri na rafiki wa rafiki za bf wake..."adui wa adui yako ni rafiki yako ila rafiki wa rafiki wa bf wake ni rafiki wa bf wake pia...."....mwambie ajiongezee na aache kulialia kumtia shombo bf wake na kumsingizia hamjalii..kicheche plussssss.
 
Asiogope Kuitwa kicheche na mwanadamu, Bali amuogope Mungu anayempa uhai Bure na yeye anamlipa Madhambi
 
tatizo ni nini ? wote awape tu,siku wakifumaniana atakayekuwa wa kwanza kusamehe ndo waoane maana huyo atakuwa amefaulu kupita kwenye tanuru la moto na wataishi kwa amani daima dumu.
 

Kwanza, katika mawasiliano ambayo ndio nguzo pekee katika mahusiano rem"wapo mikoa tofauti. Shost amekuwa ni mtu wa kwanza kumtafuta jamaa kila mara kama asipofanya hivo jamaa kimya cku inapita akimuuliza anasema alikuwa busy "jamani ubize gani inamaana hapati hata muda wa kula akatext sms yenye maneno mawili tu"??? Shost amekuwa akimtumia zawadi mbalimbali lakini jamaa hajawahi hata kumletea handkachif na huwa anammshirikisha katika mambo yake hata ambayo hawezi mwambia mzazi wake au kuomba ushauri kwa mzazi wake lakini anampa jamaa kipaumble kuanza kumuuliza na kuomba ushauri ila jamaa huwa hamshirikishi chochote. anaweza safiri kwenda wilaya nyingine asiseme hata mkoa mwingine kimya kimya baddae akimuuliza upo wapi ndo anasema nipo morogoro shost anastuka moro umekwenda lini jamaa anamtell nimekuja juzi ama jana means hamjali wala kumpenda thats y hamshirikishi... hufanya mambo yake kimya kimya yaan haoni umuhimu wa shosht...

Pili: jamani kama mtu unamjali automatic utampenda sasa atasema anakupenda bila kukujali how comes, jamaa hana wivu hawezi hata onesha dalili ya wivu kila ambacho shost anafanya ye kwake aona sawa tu sasa hapo upendo upo wapi mkuu???????

Tatu: Sio kwamba tayari anadate na huyo mkaka wa pili ila mkaka wa pili kaonesha nia sasa anajipanga kujibu ndio au hapana na bado hajawa na mahusiano ya kimapenzi. Ni kwamba rafiki wa rafiki wa bf wake ndo amtaka yaan anaonesha nia ya kumtaka kimapenzi na hawajaanza kudate........

Mwisho: Shost hujitahidi kumtext sms nzuri za mapenzi lakini jamaa respond yake utafikiri anachat na man mwenzie, sasa kama mpenzi wako humwandikii maneno matamu unategema ataandikiwa na nani? aweza mtext i love jamaa anajibu thnx tena inshort hapo utasema shost anapendwa?? Wakiwa pamoja jamaa anakomaa tu kumwita jina lake "happy" hakuna maneno ya mahaba wala nini kha!
 

asante sana mkuu kwa kunifungua macho.
 
Iwapo shosti wako ni wa kizamani hajaenda na wakati kwa kutowa mchezo hana haja ya kuwa na wasiwasi. iwapo kaenda na wakati basi mshauri aachane na kwenda na wakati kwani kila ajae ataendana na wakati halafu awe habadiliki kama huyo wa mwanzo.Wanaume wana tabia ya kutosheka na hichohico hasa iwapo hakuna mkataba. Kwa wengine uchumba ni kodi ya muda kufaidi hadi utakapoamua kukodi kwengine!
 
dah la kuvunda halina ubani mwambie atupe kule asonge mbele simba hafugiki ati.
 
aisee, mapenzi ya tamthiliya yana kazi sana... hivi kumbe kupitisha siku bila kum- call au text mpenzi ni issue sana eeh..
 
Kama ameshindwa kumrekebisha na hawezi kumvumilia bora abwage manyanga.
 
sasa kuna umuhimu gani wa kuwa kwenye uhusiano na mtu asiyekujali?

kutomjali kivipi,kifedha,kimapenzi au kingono.be specific.kuna wasichana wengine huwa wanapokuwa kwenye relatioship huwageuza wenzao ATM machine.
 
Amwambie ukweli huyo anayekuja kwa kasi uhusiano wa huyu kaka na kuwa ameshampiga chini, maana hata huyo rafiki wa mchumba akipeleka habari zitakuwa old news.

Otherwise amove on...life is too short.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…