Amzika mwanawe akiwa hai apate ‘kudanga’

Mimba miezi Tisa alikuwa anaishi vipi?
 
Aisee
 
Huyo ni kichaa,jela ni halali yake pia apitie milembe kwanza kukazwa nati,hiv jamani ule uchungu wa leba unavouma,hauelezek,[emoji26] mpaka unajifungua na unapewa mtoto ,ile furaha huwa hailezeki pia unavombeba mtoto kwa mara ya kwanza kifuani tena first born(km huyo aliouwawa na mamaake I hope alikuwa ndo first born kwa mamaake) yaani unakua na mapenzi na mtoto wako kuliko kitu chochote duniani especially zile wiki za mwanzo ndo upendo unazidi , sasa nashangaa huyu aliye ua wiki za mwanzo(za upendo mwingi)japo upendo upo siku zote,kwa mama na mtoto, ila hizo wik huwa upendo unazidi, ambazo mtu unalala kwa kushtuka shtuka kumcheck mtoto asije lala vibaya, akalalia pua akakosa hewa akafa,..ukija suala la miaka huyu binti bado ni mdogo, lakini ana roho ngumu km GAIDI.Mungu ampokee malaika aliyekufa kwa mateso makubwa bila kosa lolote,,[emoji120]The world is not fair
 
Nawalaum sana vijana wapiga mimba na kusepa.
watoto wenu wanauawa kikatili, na damu yao iko juu yenu pia.

mwanamke huna malengo nae yoyote, kwanini unamzalisha?
kwanini upige mimba kisha uikatae?

bikira zipewe thamani kubwa sana×2

na haya hayatakuwepo tena ..najua huwezi kunielewa upesi.
 
Kumbuka Ilitabiriwa kuwa Katika karib na siku za mwisho "UPENDO WA WENGI UTAPOA"
 
Ndo maana nishasema mbegu zangu siwezi kumwagia mwanamke mshenzi mshenzi.

Heri ni vae condom mbili ila sio nimwagie mwanamke mbegu ambaye sio mke wangu.
 
Mambo mengine yanatuathiri kisaikolojia hata tuliokuwa mbali na tukio. Binadamu tupunguzeni ukatili, tutajibu nini siku ya mwisho?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…