ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
DUUU POLE SANA MKUUKuna mtu wa hovyo alitumwa kumuua kaka yangu kwa msongo wa mawazo kwa kumpa ahadi hewa kisha baadae akamruka/akamkana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DUUU POLE SANA MKUUKuna mtu wa hovyo alitumwa kumuua kaka yangu kwa msongo wa mawazo kwa kumpa ahadi hewa kisha baadae akamruka/akamkana.
Hii huwaje Mzee naweza kufanya biashara nawe nikiona ipo vizuriKwa nn asifanye supply ya office furniture, decorations n hizo stationary offices tena?. Mana hiyo ndo fursa pekee kwa sasa. Afisa masoko nipo hapa
Nakuachia email mkuuHii huwaje Mzee naweza kufanya biashara nawe nikiona ipo vizuri
Aliomba leseni ya kufanya biashara gani?Hello wapendwa..kuna mtu kasajili kila kitu akapata vibali vyote lakini hajui afanye biashara gani..
Yaan yeye alicho fanya nikupambana kusajili bila kujali anacho kieleza kule, kwake alikuwa ana tamaa sana ya kufungua ili kwanza amalize mchakato wa kupata Bank acc ya kampuni, Leseni, Efd machine na kafanya vyote sasa ana waza ..
Je ni coperate busines gani afanye ili awe supplier.. anapenda kuwa supplier mwanzo alitaman kuwa supplier wa Offices kwenye eneo la Stationaries and printers accessory.. na ndio alicho sujilia ..ila kwa kuwa amesajili kama office suppliers haja jifunga kwenye specific iko wazi.. kusupplie chochote.
Sasa anauliza wenye wazo.. la Nini kina kuwa supplies kwa coperate companies nyingi hapa mjini ili aanze maana anaogopa kulipia pango kwa office kabla haja jua afanye nipi na kina mzunguko gani.
Hapa kuna wazoefu... tusimnyime wazo la kitu kinacho toka haraka..
Hili kabila langu, sijawahi kuona ustaarabu wenu....Kaka yangu alikataa mahusiano ya kimapenzi na Proscovia ndio wakakutuma wewe kumharibia financial status yake miaka kadhaa nyuma wakati kaka yangu alimpenda mchaga. Mapenzi hayalazimishwi waambie hao bosses wako.
Poa mkuuNakuachia email mkuu