IdekaIdeka
Member
- Sep 3, 2016
- 22
- 6
Nitafute mimi Nipate kumpa dawa zangu atapona hata kama ana maradhi ya Kifua kikuu atapona. Ukiwa na Shida yoyote ileNdugu wanajamvi
Salaam
Kwa wataaramu Wa tiba
Mtoto wa ndugu yangu Amekuwa akikohoa kwa muda si chini ya miaka mitano sasa. Kikohozi hicho ni kikavu, tumejaribu hospital zetu huko wilayani bila mafanikio.
Tafadhali naomba ushauri wenu.
Umeishajaribu kukitibu kama allergy?Ndugu wanajamvi
Salaam
Kwa wataaramu Wa tiba
Mtoto wa ndugu yangu Amekuwa akikohoa kwa muda si chini ya miaka mitano sasa. Kikohozi hicho ni kikavu, tumejaribu hospital zetu huko wilayani bila mafanikio.
Tafadhali naomba ushauri wenu.
Zingatia aliyekusbauri dawa ya minyoo anza na hyo kwanzaWana JF Nakushukuruni sana kwa ushauri wenu.
Sasa nayafanyia kazi mawazo yenu.
Tuko pamoja
Kipimo kikubwa ndio kipi?Apime Kipimo kikubwa
Au alimaanisha choo kikubwaKipimo kikubwa ndio kipi?