IdekaIdeka
Member
- Sep 3, 2016
- 22
- 6
Ndugu wanajamvi
Salaam
Kwa wataaramu Wa tiba
Mtoto wa ndugu yangu Amekuwa akikohoa kwa muda si chini ya miaka mitano sasa. Kikohozi hicho ni kikavu, tumejaribu hospital zetu huko wilayani bila mafanikio.
Tafadhali naomba ushauri wenu.
Salaam
Kwa wataaramu Wa tiba
Mtoto wa ndugu yangu Amekuwa akikohoa kwa muda si chini ya miaka mitano sasa. Kikohozi hicho ni kikavu, tumejaribu hospital zetu huko wilayani bila mafanikio.
Tafadhali naomba ushauri wenu.