Ana maana gani?

Ana maana gani?

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Wana-JF,nikiri kuwa ni mara yangu ya kwanza kuandika kwenye jukwaa hili.Suala hili linamhusu rafiki yangu wa karibu aitwaye Eddock.Eddock alikuwa na mahusiano na msichana mmoja hapa jijini Dar es Salaam.Mahusiano yao ya kimapenzi yalidumu kwa miaka miwili;2010-2012(mnamo mwezi Aprili).

Nilivyokuwa nawaona,walikuwa wanawezana(naogopa kusema walikuwa wanapendana).Msichana wa Eddock alikuwa na mipango ya kusoma.Walitaarifiana.Wakakubaliana.

Ghafla bin vuu,Eddock akapokea simu ya msichana wake akimuomba wakutane ili waongee kuhusu suala moja muhimu kwao.Wakakutana.Msichana bila kusita akamwambia Eddock kuwa ameamua kuachana naye Eddock.Sababu zikaulizwa.Msichana akasisitiza kuwa ameshaamua na hana sababu zozote.Akamtaka Eddock atafute mchumba aoe ili amsahau kabisa kuwa waliwahi kuwa pamoja.

Eddock akakubali matokeo.Akaendelea na zake.Siku si nyingi,akapokea simu ya yule msichana akiomba amkopeshe laki moja.Akamkopesha.Halafu,msichana akaanza tabia ya kupiga simu mara kwa mara,kubeep,kusms na kumtafuta hata kwa rafiki zake Eddock ili amwone.Tabia hizo ndizo zimetawala hadi leo.

Sasa waungwana,kwa wanaoweza kutafsiri matendo haya,huyu msichana anamaanisha nini hasa?
 
Anamanisha kua rafiki yako ni BUZI tuu hana hadhi yakuanae .
 
Akaendelea na zake.Siku si nyingi,akapokea simu ya yule msichana akiomba amkopeshe laki moja: Akamkopesha.

Umeona tatizo eh? Binti alipata mtu mwingine anayeyaweza na wmwenye hela lakini akakosa utu. Alipomjaribu jamaa yako akamkopesha bila shida (naamini hivyo). NAFSI inamsuta anataka kurudisha majeshi.

Kwa sababu hawakugombana, afanye "COST BENEFIT ANALYSIS" halafu aamue kuwa warudiane au la, Ingawa kwangu DEMU hana mapenzi ya dhati au hana msimamo.

Bazazi ni Bazazi.
 
Wana-JF,nikiri kuwa ni mara yangu ya kwanza kuandika kwenye jukwaa hili.Suala hili linamhusu rafiki yangu wa karibu aitwaye Eddock.Eddock alikuwa na mahusiano na msichana mmoja hapa jijini Dar es Salaam.Mahusiano yao ya kimapenzi yalidumu kwa miaka miwili;2010-2012(mnamo mwezi Aprili).

Nilivyokuwa nawaona,walikuwa wanawezana(naogopa kusema walikuwa wanapendana).Msichana wa Eddock alikuwa na mipango ya kusoma.Walitaarifiana.Wakakubaliana.

Ghafla bin vuu,Eddock akapokea simu ya msichana wake akimuomba wakutane ili waongee kuhusu suala moja muhimu kwao.Wakakutana.Msichana bila kusita akamwambia Eddock kuwa ameamua kuachana naye Eddock.Sababu zikaulizwa.Msichana akasisitiza kuwa ameshaamua na hana sababu zozote.Akamtaka Eddock atafute mchumba aoe ili amsahau kabisa kuwa waliwahi kuwa pamoja.

Eddock akakubali matokeo.Akaendelea na zake.Siku si nyingi,akapokea simu ya yule msichana akiomba amkopeshe laki moja.Akamkopesha.Halafu,msichana akaanza tabia ya kupiga simu mara kwa mara,kubeep,kusms na kumtafuta hata kwa rafiki zake Eddock ili amwone.Tabia hizo ndizo zimetawala hadi leo.

Sasa waungwana,kwa wanaoweza kutafsiri matendo haya,huyu msichana anamaanisha nini hasa?


Huyo binti anaitwa NATAKA SITAKI! Nahisi alikuwa anajaribu kupima maji kwa kuintroduce issue ya kuachana ili aone nini kitatokea na bahati nzuri au mbaya huyo jamaa akaamua kufanya kweli na sasa anatafuta namna ya kurudi.

Kama jamaa yako Eddock anaweza kufanya uchunguzi wa mara baada ya kuachana huyo binyi alikuwa na nani na kama ataprove kuwa hakuwa na mtu baada ya kuachana then amsamehe tu na kuendelea naye. But akigundua kuwa baada ya kumwagana, huyo binti alipata mtu mwingine, maana yake ni kuwa huyo binti ana tabia za tamaa na hafai kuwa mke na pia huwezi kujua huko alikokimbilia kalikoroga nini mpaka atake kurudi tena.
 
Huyo binti anaitwa NATAKA SITAKI! Nahisi alikuwa anajaribu kupima maji kwa kuintroduce issue ya kuachana ili aone nini kitatokea na bahati nzuri au mbaya huyo jamaa akaamua kufanya kweli na sasa anatafuta namna ya kurudi.

Kama jamaa yako Eddock anaweza kufanya uchunguzi wa mara baada ya kuachana huyo binyi alikuwa na nani na kama ataprove kuwa hakuwa na mtu baada ya kuachana then amsamehe tu na kuendelea naye. But akigundua kuwa baada ya kumwagana, huyo binti alipata mtu mwingine, maana yake ni kuwa huyo binti ana tabia za tamaa na hafai kuwa mke na pia huwezi kujua huko alikokimbilia kalikoroga nini mpaka atake kurudi tena.
Asante Mkuu,nitafikisha ujumbe kama ulivyo.Pamoja sana...
 
in love life second chances always come with doubts...
hakuna sababu ya kurudiana hapo kama anaweza kumsaidia kama rafiki aendelee tu kufanya hivyo...
maana wasichana wanakula kwa mabuzi wanalala kwa wapenzi
 
Back
Top Bottom