Himidini
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 5,534
- 4,189
^^
Jana nimepata mgeni aliyekuja kunitembelea.Lakini alikuja kunijulia hali alipopata habari kuwa naumwa,na nipo naendelea na dozi.
Lakini jambo moja lilinishangaza pale aliposema '...nakuonea wivu,walau hata unaugua,mimi sikuwahi kuugua tangu 2001,yani hata kusikia homa wala kichwa kugonga.."
...
Awali nilidhani utani lakini mkewe na shangazi wa Bwana huyu walithibitisha hili.Na mwenyewe anasema "..watu wanasema siku nikiugua ndio kifo changu,,jambo hili linanitia hofu sana.."
...
Jamani wataalam wetu,jambo hili lina madhara ya kiafya? Au ni jambo la kawaida tu?
...
Kwa JF DOCTORS
CC: mimi49 MziziMkavu BAOTISTA
^^
Jana nimepata mgeni aliyekuja kunitembelea.Lakini alikuja kunijulia hali alipopata habari kuwa naumwa,na nipo naendelea na dozi.
Lakini jambo moja lilinishangaza pale aliposema '...nakuonea wivu,walau hata unaugua,mimi sikuwahi kuugua tangu 2001,yani hata kusikia homa wala kichwa kugonga.."
...
Awali nilidhani utani lakini mkewe na shangazi wa Bwana huyu walithibitisha hili.Na mwenyewe anasema "..watu wanasema siku nikiugua ndio kifo changu,,jambo hili linanitia hofu sana.."
...
Jamani wataalam wetu,jambo hili lina madhara ya kiafya? Au ni jambo la kawaida tu?
...
Kwa JF DOCTORS
CC: mimi49 MziziMkavu BAOTISTA
^^
Last edited by a moderator: