Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamaa ana stress na ualimu wake!! Yaani haipiti week ajapigwa ban.[emoji16][emoji16][emoji28] Mpwayungu Village
kala ban akirudi ntamuonesha hii coment yko ya kutudhihaki kisa hatuna pesa
Labda ka salon ka kunyoa watoto 500na watu wa 1000lakini siyo salonAfungue salon,aajiri mtu huku aakijifunza baada ya hapo anakaa yeye.
mwambie akodishe shamba alimeWakuu hivi kwa location ya Songea kwa mtaji huo anaweza akafanya bize gani? Mi niliwaza afungue salon lakini yeye hajui kunyoa. Ndo ilipo changamoto hapo.
Binafsi kwa uzoefu wangu nashauru hivii..Wakuu hivi kwa location ya Songea kwa mtaji huo anaweza akafanya bize gani? Mi niliwaza afungue salon lakini yeye hajui kunyoa. Ndo ilipo changamoto hapo.
Yaan kuna mpwayungu oamoja na genta popoma hawamalizagi week mbiki bila kula ban aisee😅😁😅😁😅[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamaa ana stress na ualimu wake!! Yaani haipiti week ajapigwa ban.
Daah😅😅😁Nyie ni wale wale
Kuna wazo nmelipenda hapo ntalifanyia kaziKwa songea si mwenyeji sana ila ingekuwa mimi huku nilipo ningefungua moja wapo kati ya haya.
1.Duka la maji la jumla(sio zile godown)
na kuuzia wafanyabiashara na wachuuzi wa hapo town.
2.Boxer/TVS pikipiki used kwa 1.5 million na kuanza kupiga mzigo na kuweka 300,000 Kwa mwezi.(Pia ukichoka unauza chombo mana ni asset)
3.Naweka Tigopesa na Mpesa Tu.huku nikiacha mitandao mingine pembeni kwanza ili nikuze mtaji,chenji unaweka kibanda hapo.( ila unaangalia na hapo ulipo mtandao gani unatumika sana)
4.Kupakia dumu za alizeti Singida au dodoma na kuleta na kufungua fremu hapo ulipo na kuuza huku ukisupply kwa masoko ya hukohuko.
5.Gold Fisher ll. ningenunua hichi kifaa cha kupimia dhahabu(tena songea kuna machimbo).
Kwa siku ukiitwa ni laki 1 tena umekaa unafuatwa.
-Tengeneza connections na wachimbaji kila wiki hukosi 400,000 narudia kwa wiki.
6.Biashara ya Mini Kiosk
Watu wanaidharau ila ina hela.Unauza vitoko na viroba na sigara (smart gin, na takataka zingine)
Kuna jamaa namfahamu anauza kwa siku 30,000 faida ni pasu pasu peleka stendi au machimboni au sokoni.
Asante
Lipi bossKuna wazo nmelipenda hapo ntalifanyia kazi
Hahahaaa,usijali Hela hutembee zitakufikia tu Mungu ni wetu sotee. Swali lakooo la kibingwa sana hata mi nawazagaa.Anyway kwa namna Fulani inawezekana mfano:Hivi inakuaje kuaje mpka mtu unamiliki 2milion wakuu ..? Mbona mm sijawahi kushika hata za kuazimwa tu
Mkuu hiyo namba 6 iko VYEMA labda mtaji mdogoKwa songea si mwenyeji sana ila ingekuwa mimi huku nilipo ningefungua moja wapo kati ya haya.
1.Duka la maji la jumla(sio zile godown)
na kuuzia wafanyabiashara na wachuuzi wa hapo town.
2.Boxer/TVS pikipiki used kwa 1.5 million na kuanza kupiga mzigo na kuweka 300,000 Kwa mwezi.(Pia ukichoka unauza chombo mana ni asset)
3.Naweka Tigopesa na Mpesa Tu.huku nikiacha mitandao mingine pembeni kwanza ili nikuze mtaji,chenji unaweka kibanda hapo.( ila unaangalia na hapo ulipo mtandao gani unatumika sana)
4.Kupakia dumu za alizeti Singida au dodoma na kuleta na kufungua fremu hapo ulipo na kuuza huku ukisupply kwa masoko ya hukohuko.
5.Gold Fisher ll. ningenunua hichi kifaa cha kupimia dhahabu(tena songea kuna machimbo).
Kwa siku ukiitwa ni laki 1 tena umekaa unafuatwa.
-Tengeneza connections na wachimbaji kila wiki hukosi 400,000 narudia kwa wiki.
6.Biashara ya Mini Kiosk
Watu wanaidharau ila ina hela.Unauza vitoko na viroba na sigara (smart gin, na takataka zingine)
Kuna jamaa namfahamu anauza kwa siku 30,000 faida ni pasu pasu peleka stendi au machimboni au sokoni.
Asante
Mkuu hiyo namba 6 iko VYEMA labda mtaji mdogo
ilo la alizeti kila mkoa wenye uhaba wa alizeti linaclick ilo
ilo la alizeti kila mkoa wenye uhaba wa alizeti linaclick ilo
Songea sehemu ganj mzee, za kuyumuka, mwambie afungue mpesa ,,songea saloon nyng na hazilipi kwa sasa, naongea kwa ushahidi,Wakuu hivi kwa location ya Songea kwa mtaji huo anaweza akafanya bize gani? Mi niliwaza afungue salon lakini yeye hajui kunyoa. Ndo ilipo changamoto hapo.
🙏🙏 nmekuelewa mkuuHahahaaa,usijali Hela hutembee zitakufikia tu Mungu ni wetu sotee. Swali lakooo la kibingwa sana hata mi nawazagaa.Anyway kwa namna Fulani inawezekana mfano:
1. Kapata mgao wa Urithii(Hana anachojua kwenye utafutaji).
2.Kahongwa na lishangazi/ sponsor ( anataka aanze maisha).
3.Uvivu wa kufikiri mpaka upate ramani ya wazo la kufanya (Hatari yake chap mtani unakwisha....AU kupata kujua vingi zaidi(vya kiambiwa unachanganya na vyako) mambo yanakwenda.
Mkuu kama aliziiba arudi tena?.Aifanye kazi aliyokuwa anaifanya mpaka akapata hizo milion mbili.
Hivi inakuaje kuaje mpka mtu unamiliki 2milion wakuu ..? Mbona mm sijawahi kushika hata za kuazimwa tu
Daah sio poWa kabsa mkuu wengne tunalia njaa wengne wanaponda raha maisha yanafurahisha sanaWatu matajiri sana humu duniani mkuu [emoji23]