Ana tatizo la kuugua ugua mara mara

Ana tatizo la kuugua ugua mara mara

Nitajitahidi kuandika ufupi kwa kwenda moja kwa moja kwenye suala ambalo kwangu linanichanganya. Nina rafiki wa kike ambaye tumefahamiana kwa takribani miaka miwili na tumekubaliana tuwe wachumba na nimeshamtambulisha kwa baadhi ya ndugu zangu akiwemo mama yangu.

Tatizo ni kwamba ni bahati kupita mwezi hajaumwa. Sasa naomba kupata uzoefu kwa yeyote ambaye ameshakumbana na hali kama hii.

Lengo langu ni kutaka kujua endapo hali kama hii itabadilika au ndo mtu anakuwa hivyo maisha yote(mgonjwa mgonjwa). Binti ndo mwenye hili tatizo(kuugua ugua mara kwa mara)
nini kinachomsumbua sana, yani sema huo ugonjwa unaomsumbua...,
 
Kila nikimuuliza huwa anasema ni siku hizi tu na kwamba zamani hakuwa na matatizo hayo. Hivyo nimekuwa najitahidi kumvumilia nikijua huenda hali hii itaisha ila bado
Nendeni kwenye vipimo braza.
 
labda mkacheki figo na ini. huwa vinaambatana na kuvimba miguu na kuishiwa damu.
 
Pengine ana malaria sugu, UTI, au typhoid. Nendeni mkapime mkiwa wote ili apate Tiba sahihi.
 
Back
Top Bottom