Page 94
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 5,204
- 15,207
Wasalaam Wakuu wa Kaya,
Moja kwa moja niende kwenye kilinichonituma kujitwika nyuma ya keyboard na kuanza kushusha madude.
Kama wengi tunavyoufahamu ugonjwa huu uliopata umaarufu sana hapa Mjengoni JF baada ya Rais Mstaafu Mh. JK kuumwa na kulazimika kwenda kufanyiwa upasuaji huko majuu.
Ugonjwa huu umempata pia mmoja wa jamaa zangu wa karibu kabisa. Baada ya kufanyiwa vipimo vyote (usiniulize njia ipi imetumika kuutambua) akagundulika kuwa ana ugonjwa tajwa na daktari kumtaka akafanyiwe upasuaji wa haraka.
Jamaa kwa uoga wake au imani yake akakataa katakata kufanyiwa upasuaji ili kuiondoa.
Tukimuuliza nini sababu anadai hawezi kukubali bila sababu yoyote.
Tumekaa na kutafakari,je tumlazimishe kufanyiwa upasuaji bila hiari yake? Je,sheria inasemaje kuhusu hali ya namna hiyo?
Kuna madhara gani kumtibu mtu ambaye hajaridhia?
Je ikishindikana kufanyiwa upasuaji,ni dawa gani inaweza kumsaidia kiumbe huyu?
Ahsanteni sana na nategemea Ushauri makini!
Moja kwa moja niende kwenye kilinichonituma kujitwika nyuma ya keyboard na kuanza kushusha madude.
Kama wengi tunavyoufahamu ugonjwa huu uliopata umaarufu sana hapa Mjengoni JF baada ya Rais Mstaafu Mh. JK kuumwa na kulazimika kwenda kufanyiwa upasuaji huko majuu.
Ugonjwa huu umempata pia mmoja wa jamaa zangu wa karibu kabisa. Baada ya kufanyiwa vipimo vyote (usiniulize njia ipi imetumika kuutambua) akagundulika kuwa ana ugonjwa tajwa na daktari kumtaka akafanyiwe upasuaji wa haraka.
Jamaa kwa uoga wake au imani yake akakataa katakata kufanyiwa upasuaji ili kuiondoa.
Tukimuuliza nini sababu anadai hawezi kukubali bila sababu yoyote.
Tumekaa na kutafakari,je tumlazimishe kufanyiwa upasuaji bila hiari yake? Je,sheria inasemaje kuhusu hali ya namna hiyo?
Kuna madhara gani kumtibu mtu ambaye hajaridhia?
Je ikishindikana kufanyiwa upasuaji,ni dawa gani inaweza kumsaidia kiumbe huyu?
Ahsanteni sana na nategemea Ushauri makini!