Sativa karudi ilipiga shavuniktk utekaji wa Soka na Sativa
Yana mwisho haya mamboSativa karudi ilipiga shavuni
Soka wamepiga kwenye ubongo hatorudi
Poleni sana wafiwa sasa mtazika nini? Soka hana ndugu, jamaa na marafiki mboni wamekaa kimya km hakuna kilichotokea?Yana mwisho haya mambo
Mm ndiye nduguyePoleni sana wafiwa sasa mtazika nini? Soka hana ndugu, jamaa na marafiki mboni wamekaa kimya km hakuna kilichotokea?
Unataka kudavirwa kisha usirudi tena kwenu?Nina amni asilimia 💯 wahusika wakuu ni vikosi vyetu vya ulinzi na usalama !Polisi na TISS .
Majibu ya hayo yote itatoa taswira ya ama kutohusika ama kuhusika kwake.Je ni nani mtoa majibu?c&p from Jebra Kambole on X
Kuna watu wanadhani serikali haihusiki na kupigwa risasi kwa Mzee Kibao, Kutekwa kwa Soka, Kupigwa risasi
sativa na mateso ya watu wengine! Serikali inahusika kwa namna zifuatazo;
1. Kwa Maneno (kuagiza au maelekezo)
2. Kwa Vitendo ( kufanya)
3. Kwa kutotimiza wajibu wao!
Nini maoni yako?
Wewe mboni hupazi sauti km Deo?Mm ndiye nduguye
Thanks for sharing brotherc&p from Jebra Kambole on X
Kuna watu wanadhani serikali haihusiki na kupigwa risasi kwa Mzee Kibao, Kutekwa kwa Soka, Kupigwa risasi
sativa na mateso ya watu wengine! Serikali inahusika kwa namna zifuatazo;
1. Kwa Maneno (kuagiza au maelekezo)
2. Kwa Vitendo ( kufanya)
3. Kwa kutotimiza wajibu wao!
Nini maoni yako?
Poleni sana wafiwa sasa mtazika nini? Soka hana ndugu, jamaa na marafiki mboni wamekaa kimya km hakuna kilichotokea?
Wewe **** sijakuelewaUnataka kudavirwa kisha usirudi tena kwenu?
Watakudavira shauri yakoWewe **** sijakuelewa
Hawana Waganga konki Wazee wa vifurushi Bwana yule niliwahi kutembelea kilinge kimoja somewhere nikakutana na Gwiji akatoboa Siri kwamba mwamba alikua amechanjiwa kucha ya Simba maeneo fulani ya mwili wake jambo lililomfanya aogopwe kwa ukali wake km Simba, sasa bi nyam pora amechanjwa ya Chui nimefungua kibuyu waambieni hao magwiji wenu wa-deal nae tuone..familia, ndugu, na marafiki wa Soka na wenzake wanapiga kelele sana kuhusu hatima ya wapendwa wao.
..Sasa kwasababu serikali ya Mama Samia ina kiburi ndio maana unaona kelele hizo zimegonga mwamba.
Watakudavira shauri yakoIla siku huyu Mafwele akijaa kwenye fremu yangu itakuwa fundisho kwa wote.
Kwani wewe tayari wamekudavira?Watakudavira shauri yako
Utadavirwa usiamini macho yakoKwani wewe tayari wamekudavira?