Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ni sawa!!Allen Kilewella, rejea tena.
Na mimi nawaza tu...Mchanga unapelekwa Zanzibar kufanya nini?
Tanganyika ni Koloni la Wazanzibar au Zanzibar ndiyo Koloni!!Awamu ya wapemba,watanganyika wakae kutulia,
Inamaana zenji hata mchanga wa kujengea wanatoa tanganyika??
YALE YA MUNGU MPENI MUNGU, NA YALE YA KAISARI MPENI KAISARI, NA WALA MSICHANGANYE HAYA, MTAKAPOYACHANGANYA YATAWATIA UNAJISI.
unataka kusemaje??YALE YA MUNGU MPENI MUNGU, NA YALE YA KAISARI MPENI KAISARI, NA WALA MSICHANGANYE HAYA, MTAKAPOYACHANGANYA YATAWATIA UNAJISI.
Zanzibar kuna mapinduzi ya ujenzi wa miundombinu mipya as mabarabara, majumba makubwa kama mahoteli nk.Mchanga unapelekwa Zanzibar kufanya nini?
Wale mafala wanatunyonya Sana ifike kipindi tukatae huu upuuzi wa MUUNGANOZanzibar kuna mapinduzi ya ujenzi wa miundombinu mipya as mabarabara, majumba makubwa kama mahoteli nk.
Zanzibar haina eneo la kutoa mchanga wa kutosha kufanikisha hayo, lazima wapate usaidizi wa eneo la ziada ambalo ni Tanganyika.
Hii issue inaweza kuwa kweli na hata siwezi kushangaa kama shirika la umeme nchini Tanesco limefuta deni la pesa nyingi kiasi kile unadhani Tanganyika kuachiwa mashimo na uharibifu wa mazingira inashindikana?.
Kama Askofu anaambiwa kituo vha polisi hawawezi kuja wala kusogea eneo hilo unadhani kuna nini nyuma ya pazia?.
Kuhusu mchanga sina hakika lakini kuna hoteli flani hivi maarufu sana iliyojengwa hivi karibuni ambayo inamilikiwa na tajiri mkubwa ambaye anamiliki runinga na viwanda vya kuchakata nafaka za ukraine , udongo wote uliotumika kupanda bustani zake ulitoka bara , malori kwa malori yalisomba ukapelekwa kule ukatandazwa na bustani ndio ikapandwa mimea na mauaAwamu ya wapemba,watanganyika wakae kutulia,
Inamaana zenji hata mchanga wa kujengea wanatoa tanganyika??
Sina hakika lakini sidhani kama machimbo yao yanatosha kuhudumia ujenzi unaondelea kwa kasi visiwani humo, maana mijengo ya hatari inatolewa hivyo bidhaa kama hizo ni muhimu vinginevyo makorongo yatabaki kuwa makubwa sana na sidhani kama kuna mbadala wa kuyafukiaMchanga unapelekwa Zanzibar kufanya nini?
Huu muungano wa kipuuzi sijapata kuona.Mchanga unapelekwa Zanzibar kufanya nini?