Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana kukataa ila nani anaweza kujitoa mhanga kwa ajolibya hilo?.Wale mafala wanatunyonya Sana ifike kipindi tukatae huu upuuzi wa MUUNGANO
Ujanja mwingi mbele giza Nyerere alijifanya mjanja ona sasa...Inamaana zenji hata mchanga wa kujengea wanatoa tanganyika?
Kwani hujui?? Nenda bagamoyo uone..hadi kokoto na malighafi nyingine. Ila huo wa segerea sijui chochote.Awamu ya wapemba,watanganyika wakae kutulia,
Inamaana zenji hata mchanga wa kujengea wanatoa tanganyika??
Usafafirishaji wa mchanga mbona unafanyika sana Duniani? Soma storie za West Africa kule uone jinsi Meli zinavyo pakia mchanga kupeleka Ulaya.Mchanga unapanda boti?
Akili yangu imegoma kuelewa
Inawezekana kabisa,Maana inasemekana Zanzibar Kuna uhaba mkubwa wa mchanga wa kujengeaAwamu ya wapemba,watanganyika wakae kutulia,
Inamaana zenji hata mchanga wa kujengea wanatoa tanganyika??
Sikuwa najua hili.Usafafirishaji wa mchanga mbona unafanyika sana Duniani? Soma storie za West Africa kule uone jinsi Meli zinavyo pakia mchanga kupeleka Ulaya.
Hili ni moja yapo mengiiiiiSikuwa najua hili.
Huwa wanapokezana,Tanganyika ni Koloni la Wazanzibar au Zanzibar ndiyo Koloni!!
kwani askofu sio raia?Sasa askofu anahusikaje na michanga??
Eti akaanza kufatilia...yeye mchanga ni Mali ya kanisa??
Mchanga unapelekwa Zanzibar kufanya nini?
Suala la mchanga kutoka Tanganyika kupelekwa Znz kwa ajili ya shughuli za ujenzi mbona siyo geni, limeanza tangu muda tu. Znz hawaruhusu kuchimba mchanga kwa ajili ya shughuli za ujenzi Visiwani kule, marufuku hii ilianza miaka mingi tu. Nakumbuka Mwaka 2017 nilishuhudia Askari wa Vikosi vya KMKM wakizunguka katika maeneo ya fukwe za Znz na site za ujenzi ili kukagua endapo kama watu wanchimba mchanga ili wawakamate. Hata zile nyumba nyingi alizojenga Bakrhesa kule Znz mchanga karibu wote umetoka Tanganyika. Mchanga huwa unajazwa kwenye Makasha (containers) na Kisha unasafirishwa kwenye meli zake za Azam ili kupeleka Zanzibar, na meli zake za kusafirisha huo mchanga huwa zinatia nanga kwenye bandari yake yeye Bakrhesa ambayo gati yake ipo jirani kabisa na mahali ilipo gati ya kutokea abiria pale Bandari ya Znz.Kwa wale waliopo Znz watakuwa wanalifahamu vizuri zaidi suaa hili, wanaweza wakatupatia ufafanuzi mzuri zaidi.