CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Robo nne ndiyo unapata kilo moja siyo? Nchi yetu inamambo mengi ya kijinga jinga sana
Bahlabane ba Ntwa,
Upuuzi ni kuhangaika na mambo ya kijinga badala ya kutengeneza timu ziwe bora.......kila muda mnahangaika na historia tu,tengenezeni timu..........ni mbumbumbu pekee anahangaika na ujingaKwa SABABU wewe huna akili kama alivyosema Manara huoni Fainali na nusu Fainali.
Kweli UJINGA ni kipaji
Uzi wote umebebwa na sentensi yenye kuanza na NB:😜😜😜
Timu ya Simba imekuwa bora sana, asikwambie mtuUpuuzi ni kuhangaika na mambo ya kijinga badala ya kutengeneza timu ziwe bora.......kila muda mnahangaika na historia tu,tengenezeni timu..........ni mbumbumbu pekee anahangaika na ujinga
Upuuzi zaidi ni kuukataa ukweli ili tu ufurahishe nafsi bila kuutambua ukweli na rekodi.Upuuzi ni kuhangaika na mambo ya kijinga badala ya kutengeneza timu ziwe bora.......kila muda mnahangaika na historia tu,tengenezeni timu..........ni mbumbumbu pekee anahangaika na ujinga
True nime Google mkuu,Ntwa kwa kinyakyusa ni Mungu
Bahlabane.. Nadhani ni Wana wa MUNGU.
WALE WENYE AKILI WAWILI WAMEKAZANA NA MIIKO NYUMA.
USHOGA HUO.
Tengenezeni timu, imekuwa bora wapi?Timu ya Simba imekuwa bora sana, asikwambie mtu
Lete ubingwa,na Siyo kufa KiumeUpuuzi zaidi ni kuukataa ukweli ili tu ufurahishe nafsi bila kuutambua ukweli na rekodi.
Waulize waliocheza nao klabu bingwa Afrika au waliofungwa magoli ya fadhaa kutoka kwa Kibu De na Inonga Varane.😜Tengenezeni timu, imekuwa bora wapi?
Ninyi mnao?Lete ubingwa,na Siyo kufa Kiume
Ungesema ubingwa wa kombe gani kwanza, Klabu Bingwa au shirikisho?Lete ubingwa,na Siyo kufa Kiume
Hata la Cecafa tu.........lete nchini na kusema eti kufa Kiume ni mbinu ya kukwepa kusema tumefailUngesema ubingwa wa kombe gani kwanza, Klabu Bingwa au shirikisho?
Okay sawa kumbe mafanikio ni kuwa wa kwanza kuvaa viatu, jezi, kupiga mswaki, VAR, Instagram followersTukiwaambia mmeanza kushabikia mpira Baada ya Azam Tv , Instagrams, watsup, Facebook nk
Jedwali hapo juu linaelezea kwa kina Mafanikio ya Timu kubwa zaidi Tanzania , Timu yenye Mashabiki wengi zaidi, Ya kwanza kuvaa viatu, jezi, kupanda ndege, KULETA UBINGWA CECAFA ., VAR, Simba Day nk nk.
Timu inayoongoza kufuatiliwa Tanzania kwenye mitandao ya kijamii Hadi hapa JF.
HAO washamba wasiojua mpira wajinga wanadhani Simba ni Levo Yao.
HAKUNA KITU KIBAYA KAMA UMASIKINI WA FIKRA.
NA YULE ALIYESEMA WENYE AKILI NI WAWILI TU NDIO ANAZIDI KUPIGA NGOMA WAJINGA MNAICHEZA.