Anaandika Crencetius Magori

Asante Kwa ufafanuzi
 
Na hapo ndipo mnapokwama.Katika maisha historia inaachajwe kufuatiliwa na kukumbukwa?Hampendi au inawaudhi?Kama ni hivyo muache kujiita mabingwa wa kihistoria.Mjiite "Mabingwa wa Stori za Blah Blah"!
Mkuu ndiyo lifeline iliyobaki nayo,

We jifariji tu
 
Bado mnawewesekaa???
πŸ˜ƒπŸ˜ƒ Wapo busy kuleta takwimu zao za miaka ya 70, na wakati wenzao Yanga wapo nusu fainali!

Na kwa namna wanavyopambana, wanaweza kufika fainali! Na hata kuchukua kombe! Sinui wakichukua watasemaje tena!!
 
Kazi kwelikweli, timu ikifanya vibaya badala ya watu kukubali kuwa timu imekuwa na kiwango duni ili wafanye maboresho wao wanadai hawana wanachowadai wachezaji utadhani hawakwenda Morocco kushindana.

Akili kama hizi uwezi kuziona kwa mashabiki wala viongozi wa timu zinazojielewa kwenye vilabu vingine bali kwa wanaSimba wenyewe. Ujinga mtupu.
 
Baaambie baelewe papaa ya mobimba na ngai ya Simba iko fasi ipi.... πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…