Anaandika kada mtiifu wa CCM Bollen Ngetti, ana hoja!

Anaandika kada mtiifu wa CCM Bollen Ngetti, ana hoja!

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
C&P

RAIS na Mwenyekiti wangu wa chama hongera kwa majukumu bila mapumziko ya maana. Mambo ni mengi yanaendelea hapa nchini yanayoweza kuikwaza chama katika chaguzi zijazo.

Most. Suala hili la watu kutekwa na kupotea tena tena likijiita ni "Kikosi Kazi Maalumu" inayopambana na wakosoaji wako litazamwe vizuri. Lisipuuzwe hata kidogo. Siamini kama ni kelele za debe tu kwamba hakuna kitu ndani yake. Kama wanavyojiita "Kikosi Kazi Maalum" lakini kimsingi ni wahuni tu wanaojipendekeza kwako kama walivyowahi kufanya kwa JPM na wewe unda "Kikosi Kazi Maalumu" kukichunguza tena niwemo ikiwezekana. Unachafuka, chama kinachafuka, Serikali inachafuka. Sote tunachafuka.

Pili: Suala la Wamaasai wa Ngorongoro litazamwe upya. Ku-review Last decision sio dhambi. Huko ndiko kukomaa kwa uongozi kwa falsafa ya Mwalimu Nyerere kwamba "Tujisahihishe". Hizi kelele si bure. Najua unawaamini wasaidizi wako lakini kwenye hili la kuwafuta kwenye ramani ya vijiji litazamwe upya maana kama ni kuhamq kwa hiari basi wasioona hiari hiyo waendelee na maisha yao Ngorongoro bila kijali visheni kali iliyokusudiwa.

Ahsante Mama
12:08pm
17/8/2024
0748 092092
Zanzibar, Kizimkazi Festival
 
C&P

RAIS na Mwenyekiti wangu wa chama hongera kwa majukumu bila mapumziko ya maana. Mambo ni mengi yanaendelea hapa nchini yanayoweza kuikwaza chama katika chaguzi zijazo.

Most. Suala hili la watu kutekwa na kupotea tena tena likijiita ni "Kikosi Kazi Maalumu" inayopambana na wakosoaji wako litazamwe vizuri. Lisipuuzwe hata kidogo. Siamini kama ni kelele za debe tu kwamba hakuna kitu ndani yake. Kama wanavyojiita "Kikosi Kazi Maalum" lakini kimsingi ni wahuni tu wanaojipendekeza kwako kama walivyowahi kufanya kwa JPM na wewe unda "Kikosi Kazi Maalumu" kukichunguza tena niwemo ikiwezekana. Unachafuka, chama kinachafuka, Serikali inachafuka. Sote tunachafuka.

Pili: Suala la Wamaasai wa Ngorongoro litazamwe upya. Ku-review Last decision sio dhambi. Huko ndiko kukomaa kwa uongozi kwa falsafa ya Mwalimu Nyerere kwamba "Tujisahihishe". Hizi kelele si bure. Najua unawaamini wasaidizi wako lakini kwenye hili la kuwafuta kwenye ramani ya vijiji litazamwe upya maana kama ni kuhamq kwa hiari basi wasioona hiari hiyo waendelee na maisha yao Ngorongoro bila kijali visheni kali iliyokusudiwa.

Ahsante Mama
12:08pm
17/8/2024
0748 092092
Zanzibar, Kizimkazi Festival
Mama yenu kama ana akili timamu asithubutu kugombea 2025, labda kama ana mpango wa kuiba kura na kumwaga damu zisizo na hatia
 
C&P

RAIS na Mwenyekiti wangu wa chama hongera kwa majukumu bila mapumziko ya maana. Mambo ni mengi yanaendelea hapa nchini yanayoweza kuikwaza chama katika chaguzi zijazo.

Most. Suala hili la watu kutekwa na kupotea tena tena likijiita ni "Kikosi Kazi Maalumu" inayopambana na wakosoaji wako litazamwe vizuri. Lisipuuzwe hata kidogo. Siamini kama ni kelele za debe tu kwamba hakuna kitu ndani yake. Kama wanavyojiita "Kikosi Kazi Maalum" lakini kimsingi ni wahuni tu wanaojipendekeza kwako kama walivyowahi kufanya kwa JPM na wewe unda "Kikosi Kazi Maalumu" kukichunguza tena niwemo ikiwezekana. Unachafuka, chama kinachafuka, Serikali inachafuka. Sote tunachafuka.

Pili: Suala la Wamaasai wa Ngorongoro litazamwe upya. Ku-review Last decision sio dhambi. Huko ndiko kukomaa kwa uongozi kwa falsafa ya Mwalimu Nyerere kwamba "Tujisahihishe". Hizi kelele si bure. Najua unawaamini wasaidizi wako lakini kwenye hili la kuwafuta kwenye ramani ya vijiji litazamwe upya maana kama ni kuhamq kwa hiari basi wasioona hiari hiyo waendelee na maisha yao Ngorongoro bila kijali visheni kali iliyokusudiwa.

Ahsante Mama
12:08pm
17/8/2024
0748 092092
Zanzibar, Kizimkazi Festival
Moja ya matatizo ya nchi hii ni baadhi ya viongozi ku ingore serious situation ambazo wananchi wanapigia kelele, just because zinawachafua kisiasa
 
Ngororongo ni TURATHI ya dunia...

Dunia inapumulia kupitia hapo....

Dr.Luth Ogana mwenyekiti wa kamisheni ya haki barani Afrika alitembelea hapa nyumbani na AKARIDHIKA kuwa kinachoendelea NGORORONGO hakuna "usiginaji" wa haki za binaadamu....

#Kuijenga Nchi Ni Maono Makubwa na utekelezaji mkubwa mno.

#Kulinda Mazingira ,Ekolojia na ustawi Endelevu wa dunia hakuhitaji siasa wala HISIA[emoji7]



#JMT milele dumu[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
C&P

RAIS na Mwenyekiti wangu wa chama hongera kwa majukumu bila mapumziko ya maana. Mambo ni mengi yanaendelea hapa nchini yanayoweza kuikwaza chama katika chaguzi zijazo.

Most. Suala hili la watu kutekwa na kupotea tena tena likijiita ni "Kikosi Kazi Maalumu" inayopambana na wakosoaji wako litazamwe vizuri. Lisipuuzwe hata kidogo. Siamini kama ni kelele za debe tu kwamba hakuna kitu ndani yake. Kama wanavyojiita "Kikosi Kazi Maalum" lakini kimsingi ni wahuni tu wanaojipendekeza kwako kama walivyowahi kufanya kwa JPM na wewe unda "Kikosi Kazi Maalumu" kukichunguza tena niwemo ikiwezekana. Unachafuka, chama kinachafuka, Serikali inachafuka. Sote tunachafuka.

Pili: Suala la Wamaasai wa Ngorongoro litazamwe upya. Ku-review Last decision sio dhambi. Huko ndiko kukomaa kwa uongozi kwa falsafa ya Mwalimu Nyerere kwamba "Tujisahihishe". Hizi kelele si bure. Najua unawaamini wasaidizi wako lakini kwenye hili la kuwafuta kwenye ramani ya vijiji litazamwe upya maana kama ni kuhamq kwa hiari basi wasioona hiari hiyo waendelee na maisha yao Ngorongoro bila kijali visheni kali iliyokusudiwa.

Ahsante Mama
12:08pm
17/8/2024
0748 092092
Zanzibar, Kizimkazi Festival
Mgombea wa urais uliyekuwa unamuunga mkono kafa, mji umekuwa mgumu
 
Kuna mtu mmoja alishwahi kusema "mkinisema vibaya chawa wangu watawashukia/watawashughulikia" na baadae ajuza mwingine kutoka kule kwenye maharage yanayosifika akakazia " ukisikia mtu yeyote anamsema vibaya kizimkazi, Mimi, au D1 nyoka nae".

Hawa ndo wamiliki wa genge la watu wasiojulikana.
 
Nje ya Mada:

Kuna hii kitu imeibuka sasa hivi hawa TEC, TV Tumaini na Askofu wa Jimbo Kuu Dar es Salaam Yuda Thadeus Rwaichi wanalipika BOMU listen askofu Rwaichi & the all people you send on medias using TV Tumaini TV Shows so called the Big School show to mock Tanzanians students ambao wamemaliza vyuo na hawana kazi za kufanya mnawasema na kuwasengenya bila kuwapa njia ya kufanya au kuonyesha ABC yaan hata Wewe Askofu Mkuu mwenye ma-PhD unakaa na kuwananga Vijana kwamba hawana ubunifu acheni hio kitu kwa sababu mnajitukana wenyewe nyinyi km Kanisa Katoliki na Serikali yenu ya Tanzania kwa ujumla yaan mnalitukana Kanisa katoliki mnaitukana mpaka Serikali ya Tanzania kwamba Kanisa katoliki halijui kuwafanya Vijana wawe wabunifu na Serikali ya Tanzania haijui kuwafanya Vijana wawe wabunifu?

Kuna padrii mmoja nikiwa Ibada moja ya kipaimara aliwahi kulalamika kwamba Watoto wakishapata kipaimara wanakua km ndio wamegraduate Chuo hawarudi tena kabisa kanisani mmewahi kujiuliza kwanini au mnaishia kupaka tu kwamba hawa Watoto wakimaliza kipaimara basi ndio Kanisa kwakheri yaan wamegraduate masomo ya kanisa hata kanisani hawarudi tena kuja kusali mmewahi kukaa chini na kujiuliza nyinyi mnakosea Wapi mpaka Watoto wanawakimbia na kugoma kuja tena kanisani?

Vijana wengi wanaenda seminari wengine hawaendelei na masomo ya upadrii na kua mashemasi na baadae kupitia kipindi cha uchungaji hatimae kua mapdrii hata wanaoendelea na upadrii na kua mapadrii nna mfano mdogo, Mimi nimefanya kazi kwenye parokia 1 Mkoa huu wa Dar es Salaam Jina kapuni sitoitaja hapa nimefanya kazi hapo parokiani kwenye nyumba ya mapadrii kabisa yaan nilikua naishi nao mapadrii kwa Muda mfupi nataka kuuliza swali kwa Wewe Askofu Rwaichi mapadrii kwanini wanakunywa sana pombe tena wengine wanakunywa pombe kupitiliza kiasi cha kushindwa kujitambua Askofu Rwaichi unaweza ukatujibu hilo swali? Kuna siku moja kulitokea kisa padrii alikunywa mpaka akashindwa kabisa kurudi nyumba ya mapadrii ikabidi Waumini wanaomjua paroko wampigie paroko aende akachukue padrii atatia aibu kalewa chakali kabisa yaan padrii anapiga pombe mpaka ukikutana nae usiku unajiuliza huyu ni Father kweli? Na asubuhi unamkuta madhabauni anaendesha ibada safi kabisa Ila utaambiwa huyo ndio mpakwa Mafuta wa Bwana akikunyooshea mikono mambo yako yanakunyookea

Sio mnakaa tu na kuanza kuwa mock mock Vijana na kuwasema vibaya kwamba hawana ubunifu tukija upande wa Serikali yaan mnaitukana Serikali pamoja na kujenga majengo mengi ya kuwahudumia wanafunzi Serikali imeshindwa kuwafanya Vijana wawe wabunifu yaan mnaitukana Serikali waziwazi kwamba Serikali haijui inachokifanya inawapa wanafunzi wengi elimu Ila Wengi wanabakia mtaani hawana kazi imeshindwa kuwafanya Vijana wawe wabunifu kwa hio Serikali haina maana yoyote na kibaya zaidi hamtoi suluhisho kuhusu tatizo hili

Nitawauliza nyinyi TEC na Wewe Askofu Rwaichi ni lini mmetoa au mmefikiria hata walau kutoa mikopo kwa Vijana wenye ubunifu au tu hata kuja na wazo kwamba km kuna Vijana wana ubunifu wa aina fulani Kanisa katoliki tupo tayari kuwaendeleza na kutangaza kila Parokia kila misa kila dominika sana sana mnaenda mbali mnaponda lile kanisa lililowaozesha watu wengi kwa siku moja kwa kuwalipia Mahari sasa nyinyi mnaponda nyinyi km nyinyi Kanisa katoliki mmetoa msaada gani kwa hawa Vijana ili waoe zaidi ya kuwaponda na kuwasema vibaya bila kuwapa uelekeo bila kuwapa muongozo mzuri km viongozi wa Kanisa mnavyotakiwa kufanya kwanini nyinyi eeh kwanini?

Ni lini mmefikiria kuunda kongamano la Vijana na kuwaamsha kuhusu kufanya bunifu mbalimbali na kuwaambia km una ubunifu fulani ukifanya hiki na hiki au ukipitia hatua hii na hii ubunifu wako utafika mbali ni lini?

Na yule host wa kipindi cha The Big School Show yaan nimemaamwangalia hadi nikachoka ni km ametumwa fulani hivi kwamba nenda kasome hivi nenda katukane hivi anawauliza maswali madogo ambao wangempa majibu ya kunya sijui km hata angeendelea na vipindi vinavyofuata host anatukana sana

Huko seminari Vijana wote wananyonyeshwa na WAWATA wanapelekewa Tani na Tani na Tani za Vyakula kutoka kwa Wamama Katoliki Tanzania wanaenda kuwalisha ingawa wengine wengi wakimaliza seminari hawaendelei na upadrii Wewe host unalijua hilo au umekaa kunyanyuka tu na kuanza kuwatukana kwamba sio wabunifu bila kujua unajitukana mwenyewe sababu Vijana wengine wametoka huko huko seminarini na wapo tu mtaani hawana mpango wa kua mapadrii na hawana kazi

Host umekaa kuropokaropoka tu kwenye kipindi au unafikiri Sisi hatujui yote hayo? Host umekaa kishabiki shabiki yaan unakua unapambia kwenye kitu ambacho haikijui baada ya kuendesha kipindi kiuweledi kwamba unaonyesha tatizo na unaonyesha na suluhisho host Wewe ni kunangananga tu mwanzo mpaka Mwisho wa kipindi host wa kipindi umenyoa km mtengeneza pombe wa kiwanda cha breweries fulani eeh umekaa unatukana Vijana kwenye kipindi kweli tena mbele yao? Mbele yao sababu wale Vijana unaoongea mbele yao ndio wanaofuatia baada ya hawa sasa Wewe host wa kipindi katika research zako umekuja na suluhisho gani kwa Vijana zaidi ya kuwananga na kuwasema vibaya?

Kwanini Wewe Askofu Rwaichi na TEC kwa ujumla msiishauri Serikali mbinu mbali mbali za kuinua na kuibua ubunifu wa Vijana na kuja na suluhisho lenye mashiko badala yake mnaishia kutukana Serikali kwamba Ina Vijana ambao hawana ubunifu wowote wamekaakaa tu au nyinyi kazi yenu ni kukusanya tu mapato ya kanisa hayo mengine wazazi watajua?
 
°Unapata usafiri
°Unapata nyumba mpya safi
°Unapata eneo ekari 5
°Unapata fedha ya usumbufu
==HUU NI UNYAMA? ===
Fedha Kiduchu, Usafiri wa kulazimishwa, Ekari tano eneo ambalo hujalichagua nk. nk.
FIDIA IWE NI NONO na ENEO WALICHAGUE WENYEWE INDIVIDUALY NK.

HUO NDIO UTU.
 
Ahsante Mama
Unamshukuru kwa kitu gani; kwa kukuruhusu kuwa chawa?

Mtu anaye jitoa fahamu kama wewe, hata akishauri yanayoonekana mazuri inakuwa haileti maana yoyote. Huyo unaye mshauri, acha maji yachukue mkondo wake, usitake kuyazuia na kusababisha maafa zaidi. Unashauri mtu asiye kuwa na uwezo abaki ili aendeleze ubovu wa uongozi wake?
 
C&P

RAIS na Mwenyekiti wangu wa chama hongera kwa majukumu bila mapumziko ya maana. Mambo ni mengi yanaendelea hapa nchini yanayoweza kuikwaza chama katika chaguzi zijazo.

Most. Suala hili la watu kutekwa na kupotea tena tena likijiita ni "Kikosi Kazi Maalumu" inayopambana na wakosoaji wako litazamwe vizuri. Lisipuuzwe hata kidogo. Siamini kama ni kelele za debe tu kwamba hakuna kitu ndani yake. Kama wanavyojiita "Kikosi Kazi Maalum" lakini kimsingi ni wahuni tu wanaojipendekeza kwako kama walivyowahi kufanya kwa JPM na wewe unda "Kikosi Kazi Maalumu" kukichunguza tena niwemo ikiwezekana. Unachafuka, chama kinachafuka, Serikali inachafuka. Sote tunachafuka.

Pili: Suala la Wamaasai wa Ngorongoro litazamwe upya. Ku-review Last decision sio dhambi. Huko ndiko kukomaa kwa uongozi kwa falsafa ya Mwalimu Nyerere kwamba "Tujisahihishe". Hizi kelele si bure. Najua unawaamini wasaidizi wako lakini kwenye hili la kuwafuta kwenye ramani ya vijiji litazamwe upya maana kama ni kuhamq kwa hiari basi wasioona hiari hiyo waendelee na maisha yao Ngorongoro bila kijali visheni kali iliyokusudiwa.

Ahsante Mama
12:08pm
17/8/2024
0748 092092
Zanzibar, Kizimkazi Festival
Asante
 
Back
Top Bottom