Anaandika Mbunge January Makamba

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Hizi TZS 300m anapewa nani? Swali la jumla: nani anamiliki rights za mechi kutangazwa? TFF, League Board, au timu? Nani ana haki ya kuziuza? Kama timu hazina rights, je zina nafasi kuamua nani anauziwa na kwa bei gani? Je, rights zinaweza kuuzwa match by match na sio Ligi nzima?

Mnaonaje Hoja Ya Mbunge January Makamba Wakuu
 
Hana lolote anataka kutia mchanga kitumbua cha wenzao mwambie azungumzie wabunge kukatwa kodi

Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
Nadhani ana hoja ya Msingi, Hapa TBC ndo inatakiwa inunue rights za mechi kwa azam media na pia kwa bilioni 3 kwa miaka kumi ni unyonyaji
 
KARIA ana sign mambo bila kuwa na uelewa wowote. Unatoa tender kwa miaka 10 kwa 300 kwa mwaka?
 
TFFF wanasaini mikataba ambayo hata atakeyeingia baada ya wao kutoka hatakuwa na uwezo wa kuitengua, kwa kifupi kupitia mikataba wanataka kuongoza shirikisho beyond their time limits! Wametumia vigezo gani?
 
Mpiga dili aliyenyimwa fursa...kwasasa anaona ana haki ya kuhoji kwakuwa hayuko huko ndani kwenye mkondo
 
Nadhani ana hoja ya Msingi, Hapa TBC ndo inatakiwa inunue rights za mechi kwa azam media na pia kwa bilioni 3 kwa miaka kumi ni unyonyaji
Kwanza TFF hapo wamezingua ,kwanza hela ya TBC ni ndogo kwa miaka 10.
Timu zinafaidika vipi kwenye hiyo deal ?halafu redio zingine ndo wawalipe TBC haki ya kurusha ?

Azam wameweka dau kubwa na tunajua ubora wao kwenye kutusha live
 
In ukiritimba tu hakuna lolote lkn mpira ni biashara na biashara ni ukiritimba

Hapa ni kuwanyima wengine fursa hasa redio ndogo ndogo kujipatia ulaji
 
Hawa wabunge, wanashindwa kushauri serikali yao, matokeo yake ndo hayo.
Wote wanaonekana wa hovyohovyo
 
Mwambie tz hatujafikia huko bado, tz hata kucheza mechi moja home moja ugenini hatuwezi, unacheza mechi tano ugenini tano home yaani vululuvululu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…