Anaandika Mwanasimba Crescentius Magori

Hawa jamaa kuna mashine wameileta inaitwa Sadio Kanute. Huyu mwamba unaambiwa anapiga pasi kama chama, anadribo kama Miquison,anafunga kama Bocco anakera kama Morisson
 
Mwaka wa nne huu shekhe tunajitekenya na kucheka wenyewe... usisahau tutanzia raundi ya pili kule kwingine...
Mlikua na backup kubwa sana nyuma na ndio iliyommaliza manji,backup yenu kushney haina sauti now tukutane uwanjani
 
Ligi karibu inaanza,tutathibitisha maneno ya huyu mtu vinginevyo ni umbeya tu wa kujifariji.
 
Hasa Hans Pope, hata baada ya kukwepa kodi, alikimbia nchi akarudi akiwa amajipanga vivyo na akamaliza kesi.
Kama Hans alikwepa kodi au la tuiachie mahakama, kesi bado haijaisha na ipo mahakamani imefikia hatua ya kujitetea (Defense), na tayari mshtakiwa wa kwanza Aveva ameanza kujitetea.
 
Kama Hans alikwepa kodi au la tuiachie mahakama, kesi bado haijaisha na ipo mahakamani imefikia hatua ya kujitetea (Defense), na tayari mshtakiwa wa kwanza Aveva ameanza kujitetea.
Huo ni umafia mmoja, kwenye uhaini unakumbuka vizuri?
 
Huo ni umafia mmoja, kwenye uhaini unakumbuka vizuri?
Kwenye uhaini Hans alipatikana na hatia, alihukumiwa maisha jela, alitumikia miaka 10 kifungoni, na miaka miwili mahabusu, Mwinyi akamsamehe mwaka 1995 baada ya kujiridhisha ametubu na amejirikebisha. Hii kesi aliyonao sasa hivi bado haijaisha, hivyo bado yupo clean, tusubiri hukumu.
 
Huyo ni mafia aliyeiva haswa
 
Haya kikosi kipana. Kiko wapi sasa mbina mmepanuliwa pale Mkapa 🏟? Na bado this time around mpaka muite maji mma.
 
Ni kweli kabisa na muda huo huo umejidhihirisha ukweli wake kwa misimu minne iliyopita.
yule mwalimu wetu muda aliemzungumzia mdau huko nyuma..ndo huyu hapa sasa anajidhihirisha wakati huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…