Anachofanya kadinali Pengo kupitia redio ni hatari wakati wa taharuki.Yasijeyakatokea kama ya Rwanda.

Anachofanya kadinali Pengo kupitia redio ni hatari wakati wa taharuki.Yasijeyakatokea kama ya Rwanda.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kuna mdau wa JF karipoti kuwa kadinali Pengo amezungumzia habari za watu kuuwawa kupitia redio maria na zinazoshirikiana nao.
Hii ni siku moja kabla ya tarehe iliyotangazwa na Chadema ya kutaka kufanya maandamano yenye anuwani mbaya.
Jee mahubiri kama haya hayana madhara kwa taifa katika muda ambao kuna viongozi wa kisiasa wametoa matamko yasiyopendeza kwa uongozi wa nchi ?

Kwenu maandamano siyo demokrasia?

Ruto: Kwenye demokrasia, Maandamano ni jambo la kawaida
 
Hii nchi watu tunaogopa mambo ya msingi kuliko tunavyoogopa kutekwa na kuuawa na Hawa polisi.

Inakuwaje nguvu imekuwa kubwa kudeal na maandamano wakati ni ya amani?

Ama kwa hakika mchawi anaogopa mwanga! Mnaogopa kuwa exposed Dunia isijue madhambi mnayofanya gizani Huku mnasingingizia Tz ni chi ya amani wakati uhalisia ni chi ya waoga?
 
Kuna mdau wa JF karipoti kuwa kadinali Pengo amezungumzia habari za watu kuuwawa kupitia redio maria na zinazoshirikiana nao.
Hii ni siku moja kabla ya tarehe iliyotangazwa na Chadema ya kutaka kufanya maandamano yenye anuwani mbaya.
Jee mahubiri kama haya hayana madhara kwa taifa katika muda ambao kuna viongozi wa kisiasa wametoa matamko yasiyopendeza kwa uongozi wa nchi ?
Yuko sahihi kwa wakati sahihi na hiyo ndio maana halisi ya kuwa kiongozi wa dini.. Kama anakosea wakamkamate
 
Kuna mdau wa JF karipoti kuwa kadinali Pengo amezungumzia habari za watu kuuwawa kupitia redio maria na zinazoshirikiana nao.
Hii ni siku moja kabla ya tarehe iliyotangazwa na Chadema ya kutaka kufanya maandamano yenye anuwani mbaya.
Jee mahubiri kama haya hayana madhara kwa taifa katika muda ambao kuna viongozi wa kisiasa wametoa matamko yasiyopendeza kwa uongozi wa nchi ?
Yuko sahihi kwa wakati sahihi na hiyo ndio maana halisi ya kuwa kiongozi wa dini.. Kama anakosea wakamkamate
Hakuna sababu ya kumkamata.
Asubiri wenzake nao wamjibu tu.
Wakatoliki huwa hawabishani
 
Kuna mdau wa JF karipoti kuwa kadinali Pengo amezungumzia habari za watu kuuwawa kupitia redio maria na zinazoshirikiana nao.
Hii ni siku moja kabla ya tarehe iliyotangazwa na Chadema ya kutaka kufanya maandamano yenye anuwani mbaya.
Jee mahubiri kama haya hayana madhara kwa taifa katika muda ambao kuna viongozi wa kisiasa wametoa matamko yasiyopendeza kwa uongozi wa nchi ?
pengo hata kipindi cha jiwe alisema bora wachache wafe ili wengi wapone. asili yake sumbawanga huyo.
 
Back
Top Bottom