Kuna mdau wa JF karipoti kuwa kadinali Pengo amezungumzia habari za watu kuuwawa kupitia redio maria na zinazoshirikiana nao.
Hii ni siku moja kabla ya tarehe iliyotangazwa na Chadema ya kutaka kufanya maandamano yenye anuwani mbaya.
Jee mahubiri kama haya hayana madhara kwa taifa katika muda ambao kuna viongozi wa kisiasa wametoa matamko yasiyopendeza kwa uongozi wa nchi ?
Anafikiri wote tuna msikikiza.Pengo kasemaje mkuu?
Kazi ipo mkuuAnafikiri wote tuna msikikiza.
Yuko sahihi kwa wakati sahihi na hiyo ndio maana halisi ya kuwa kiongozi wa dini.. Kama anakosea wakamkamateKuna mdau wa JF karipoti kuwa kadinali Pengo amezungumzia habari za watu kuuwawa kupitia redio maria na zinazoshirikiana nao.
Hii ni siku moja kabla ya tarehe iliyotangazwa na Chadema ya kutaka kufanya maandamano yenye anuwani mbaya.
Jee mahubiri kama haya hayana madhara kwa taifa katika muda ambao kuna viongozi wa kisiasa wametoa matamko yasiyopendeza kwa uongozi wa nchi ?
Timid, get a side..Kuna mdau wa JF karipoti kuwa kadinali Pengo amezungumzia habari za watu kuuwawa kupitia redio maria na zinazoshirikiana nao.
Hii ni siku moja kabla ya tarehe iliyotangazwa na Chadema ya kutaka kufanya maandamano yenye anuwani mbaya.
Jee mahubiri kama haya hayana madhara kwa taifa katika muda ambao kuna viongozi wa kisiasa wametoa matamko yasiyopendeza kwa uongozi wa nchi ?
Yuko sahihi kwa wakati sahihi na hiyo ndio maana halisi ya kuwa kiongozi wa dini.. Kama anakosea wakamkamateKuna mdau wa JF karipoti kuwa kadinali Pengo amezungumzia habari za watu kuuwawa kupitia redio maria na zinazoshirikiana nao.
Hii ni siku moja kabla ya tarehe iliyotangazwa na Chadema ya kutaka kufanya maandamano yenye anuwani mbaya.
Jee mahubiri kama haya hayana madhara kwa taifa katika muda ambao kuna viongozi wa kisiasa wametoa matamko yasiyopendeza kwa uongozi wa nchi ?
Wakatoliki huwa hawabishaniHakuna sababu ya kumkamata.
Asubiri wenzake nao wamjibu tu.
Kwani wanajibizana maaskofu na ma sheikhKaunganisha redio kabisa ili apate wasikilizaji zaidi.
Haya tusubiri sheikh Mziwanda na wenzake basi wajibu siku ya Ijumaa ijayo.
stupid as stpis isKuna mdau wa JF karipoti kuwa kadinali Pengo amezungumzia habari za watu kuuwawa kupitia redio maria na zinazoshirikiana nao.
Hii ni siku moja kabla ya tarehe iliyotangazwa na Chadema ya kutaka kufanya maandamano yenye anuwani mbaya.
Jee mahubiri kama haya hayana madhara kwa taifa katika muda ambao kuna viongozi wa kisiasa wametoa matamko yasiyopendeza kwa uongozi wa nchi ?
pengo hata kipindi cha jiwe alisema bora wachache wafe ili wengi wapone. asili yake sumbawanga huyo.Kuna mdau wa JF karipoti kuwa kadinali Pengo amezungumzia habari za watu kuuwawa kupitia redio maria na zinazoshirikiana nao.
Hii ni siku moja kabla ya tarehe iliyotangazwa na Chadema ya kutaka kufanya maandamano yenye anuwani mbaya.
Jee mahubiri kama haya hayana madhara kwa taifa katika muda ambao kuna viongozi wa kisiasa wametoa matamko yasiyopendeza kwa uongozi wa nchi ?