much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
TANU haikujiita chama Cha kidemokrasiaMbona bosi wetu wa TANU/CCM alikaa kitini takribani miaka 30
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TANU haikujiita chama Cha kidemokrasiaMbona bosi wetu wa TANU/CCM alikaa kitini takribani miaka 30
Wewe kweli much knowTANU haikujiita chama Cha kidemokrasia
Mtizamo wangu kisiasa na ushauri wangu kwa chama cha Mapinduzi nikumwomba Msigwa asiendelee kuhojiwa kwenye vyombo vya habari.
Kadri anavyohojiwa ndivyo anawafanya wana CCM waonekane wana akili ndogo. Mkakati huu alionao kwa wachambuzi wanapaswa kujiuliza kwanini wanachama wa CCM wanampuuza hata kupost habari zake? Kwanini hakuna comments positive kwenye social media? Kwamba wana CCM awaoni uzuri mabaya yake?
Chama kinapompokea mgeni nakuona hana impact kinapaswa kumshukuru na kumpa maelekezo. Kushindwa kumweleza ukweli nikushindwa kuwathamini wana CCM.
Amehojiwa Leo star TV hadi unajiuliza yupo CCM kuisaidia au kulibomoa? Hawa wanaomlipa wananufaikaje na akili ndogo anayotumia? Kwanini wasimwelekeze atumie akili kubwa kama aliyokuwa nayo CHADEMA?JE NI KWELI KWAMBA UKIWA CCM INABIDI UONEKANE Huna akili?
Hoja hii hata ungeipeleka kwenye part cocus watashauri anyamaze kwanza na apunguze kuandika sana mitandaoni hadi upepo utulie.
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Yaliyojiri kwenye mahojiano kati ya Chief Odemba na Peter Msigwa kwenye kipin![]()
Na wewe ni focalWewe kweli much know