Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 2,748
- 5,112
Anachofanyiwa Dangote na serikali ya Nigeria na viongozi wake ni masikitiko. Napata mashaka juu ya utimamu wa akili zetu.
Baada ya kutokea mkombozi wa kiteknolojia [Huawei] China serikali ya China ilisimama na Huawei na kuhakikisha kwa namna yoyote Huawei inasimama hata pale ilipopata tishio la kuangamizwa na Marekani wakomunisti wale hawakusita kuipa support ya ndani na nje Huawei isiangushwe.
Wachina walijitoa kuilinda Huawei kuanzia kukamatwa kwa Boss wa mtoto wa Huawei Canada mpaka wakamrudisha China cases zote China walisimama bako kwa bako na Huawei.
China wamepigana na wanapigana Giant huyu wa teknolojia asianguke maana yeye ni moja ya National symbol kubwa ya China kiteknolojia huwezi kutaja mafanikio ya teknojia China bila kuigusia Huawei naweza hata kuiita Huawei ni kampuni ya nchi kutokana na mchango na nafasi yake katika mafanikio na maendeleo ya China kiteknolojia.
Kinacho nishangaza ni nini? Ni hiki anacho pitia Dangote kuhusu uwekezaji wake wa refineries nyumbani kwao Nigeria ili kutibu tatizo la mafuta lakini uwekezaji huo unageuka msiba kwake.
Hakuna wakati muhumi serikali ya Nigeria ilipaswa kuibeba kampuni ya Dangote kama kampuni ya nchi kushinda sasa.
Walipaswa kwa namna yoyote kuhakikisha Dangote group haianguki au kuangushwa na yoyote ila kwa yanayo endelea napata mashaka juu ya utimamu wa akili.
Baada ya kutokea mkombozi wa kiteknolojia [Huawei] China serikali ya China ilisimama na Huawei na kuhakikisha kwa namna yoyote Huawei inasimama hata pale ilipopata tishio la kuangamizwa na Marekani wakomunisti wale hawakusita kuipa support ya ndani na nje Huawei isiangushwe.
Wachina walijitoa kuilinda Huawei kuanzia kukamatwa kwa Boss wa mtoto wa Huawei Canada mpaka wakamrudisha China cases zote China walisimama bako kwa bako na Huawei.
China wamepigana na wanapigana Giant huyu wa teknolojia asianguke maana yeye ni moja ya National symbol kubwa ya China kiteknolojia huwezi kutaja mafanikio ya teknojia China bila kuigusia Huawei naweza hata kuiita Huawei ni kampuni ya nchi kutokana na mchango na nafasi yake katika mafanikio na maendeleo ya China kiteknolojia.
Kinacho nishangaza ni nini? Ni hiki anacho pitia Dangote kuhusu uwekezaji wake wa refineries nyumbani kwao Nigeria ili kutibu tatizo la mafuta lakini uwekezaji huo unageuka msiba kwake.
Hakuna wakati muhumi serikali ya Nigeria ilipaswa kuibeba kampuni ya Dangote kama kampuni ya nchi kushinda sasa.
Walipaswa kwa namna yoyote kuhakikisha Dangote group haianguki au kuangushwa na yoyote ila kwa yanayo endelea napata mashaka juu ya utimamu wa akili.