Anachokifanya diamond mida hii

Anachokifanya diamond mida hii

Status
Not open for further replies.
"wanamuziki hawana busara" ni kauli ya philopopher flani hiv bahat mbaya nimemsahau jina.So kutuletea upuuzi kama huu hapa jf usilie utakapotukanwa.
 
mbona hujatutaarifu hiyo jumamosi alikua na wema sepetu leaders?na wema alishangiliwa mbaya?au una sikia aibu kwa ulivyokua ukitwambia diamond hawezi kuachana na peny na kurudiana na wema? mengine ambayo huna uhakika nayo usiwe unayaongea kwanza.
 
Salaam..najua wengi mmenimiss tu..hata wale wanaopretend kunichukia..naiman wamenimiss pia .nilikua kimya kutokana na kipindi hiki kuwa buzy kutokana na
kuongezeka kwa majukumu...
tuendelee na nilichowaletea mida hii...
Baada ya kutoka kutoa misaada kwenye kituo cha
watoto yatima kigogo..kisha ,
kwenda clouds kufanya mahojiano na kipindi cha jahazi
kisha kwenda kukagua utengenezaji
wa jukwaa atakalotumia ..
kesho kwenye tamasha aliloliandaa special kwa watoto..
usiku huu yupo kwa
producer,Man walter akiendelea kurekodi nyimbo yake mpya ya tofuti kabisa na alizowahi fanya.
akimaliza usiku huu huu ataenda tena kwa producer Tudd tomas kurekodi nyimbo nyingine...
UKILALA NA PESA ZALALA.
usisahau tu hapo kesho kuja na mwanao pale leaders kwa kiingilio cha..
3000 kwa mwanao na 7000 wewe..mtu mzima
NB..nimeshindwa kuweka picha coz natumia sim now..
ukitaka pic za matukio haya na picha za maisha ya kila siku ya diamond
follow me on instagram @ kifesi or follow WCB wasafi acount @wcb_wasafi..
WCB _WASAFI Daima.
nimemaliza

Ndugu fanya kazi yako, ma pr huwa hawaangaik kujibu majungu, wewe ndo pr pekee unaegombana na waocomment na kuwajib vibaya. Ukiandika kitu kama hiki sepa,umefanya kazi yako,akija mtu akacomment positive,like then sepa,akija mtu akakoment negative but katika kutaka kuelewa mweleweshe aelewe, akicoment upuuzi anaoujua achana nae. Hii ni kote fb,insta na hapa.otherwise una loose credibility. Dont argue with fools and haters just do ur thing ehhh!. .. Kuna wengine hapa ni mameneja wa wasanii ambao hawafanyi vizur kwenye game,wengine ndugu zao ,wengine wapenz wao unadhan hasira walizonazo kwa kuwa mtu wao hayupo juu kama domo unaweza kupambana nazo hapa??? Acha ku argue fanya yale yakupasayo kufanya basi!!!!
 
Ndugu fanya kazi yako, ma pr huwa hawaangaik kujibu majungu, wewe ndo pr pekee unaegombana na waocomment na kuwajib vibaya. Ukiandika kitu kama hiki sepa,umefanya kazi yako,akija mtu akacomment positive,like then sepa,akija mtu akakoment negative but katika kutaka kuelewa mweleweshe aelewe, akicoment upuuzi anaoujua achana nae. Hii ni kote fb,insta na hapa.otherwise una loose credibility. Dont argue with fools and haters just do ur thing ehhh!. .. Kuna wengine hapa ni mameneja wa wasanii ambao hawafanyi vizur kwenye game,wengine ndugu zao ,wengine wapenz wao unadhan hasira walizonazo kwa kuwa mtu wao hayupo juu kama domo unaweza kupambana nazo hapa??? Acha ku argue fanya yale yakupasayo kufanya basi!!!!

ulikuwa wapi ndugu??
ushauri wako naanza kuufanyia kaz leo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom