Nazungumzia kilichopo now ,yajayo ni ramliMtego huo
Subiri mpaka siku ya game uone odds zinasomaje.
Kama head to head haipo wana consider team power kwa wakati huo ,Watengeza odds huwa wanawapata shida sana kwa timu ambazo zimekutana mara chache na especially zamani, au ambazo haziwahi kukutana. Kwa timu ambazo zimekutana mara nyingi, kwao kutengeneza odds ni rahisi maana kigezo kimojawapo ni trends za matokeo baina ya timu hizo mbili. Yanga na Mamelodi walikutana mara mbili muda miaka mingi iliyopita, lakini Simba na Al Ahly tayari wameshakutana mara sita katika miaka minne iliyopita, na hii ikikamilika watakuwa wamekutana mara nane
Ni probability zilizo patikana kwa kuconsider statistics relevantOdds hazichezi mpira
Hiyo mythKitu kimoja ambacho mnatakiwa kujua ni kwamba odds hubadilika kutokana na market. Watu wengi wakiweka mzigo kwa Mamelodi siku hizi mbili, si ajabu kufikia Alhamis odds zikasoma kinyume. Kuna namna huwa wanabadili ili kuendana na risk ya kupata hasara iwapo wengi walioweka mzigo wamechagua upande mmoja, wakawa sahihi
Hukuelewa kumbe [emoji23][emoji23][emoji23]kha,,kumbe mmanina kanji.
sikuelewa,kanji kuna mahala ataumiza watu kwa Mkapa.Hukuelewa kumbe [emoji23][emoji23][emoji23]
mtego huoUkiingia mtaani mashabiki walio wengi wanaamini kwamba Yanga ndio ana mechi ngumu zaidi ya Simba , mashabiki wa yanga wali ingia unyonge baada ya Droo kupangwa,
Huku wa Simba wakitamba kwamba mfupa wao washauzoea hivyo jambo lao wanalimaliza
safari hii na mbwai ita kua mbwai afe kipa afe beki.
Kanji anaona tofauti kabisa ,
Yeye anaona Yanga ana mfupa mwepesi zaidi ..
Kwanini..
Simba ana Odd kibwa kuliko mpizani wake Al ahly licha ya kuwa nyumbani .
Simba ana odd kuzidi Yanga ambae anasemwa kuwa underdog na mgeni wa mashindano
Mamelody ana odd kubwa kuliko Yanga na hii maana yake Yanga ana ingia kwenye mechi akiwa kama favourite
Sijui kanji kaangalia vigezo gani ila ninacho jua kuwa Ods zina pangwa kutikana takwimu, uwezo wa timu na historia zake.View attachment 2941091
Simba na Yanga wote wana mechi ngumu sana. Ila wakati mwingine Kanji huwa anaweka mitego tujae. Hapo ni kuofuata akili yako.Ukiingia mtaani mashabiki walio wengi wanaamini kwamba Yanga ndio ana mechi ngumu zaidi ya Simba , mashabiki wa yanga wali ingia unyonge baada ya Droo kupangwa,
Huku wa Simba wakitamba kwamba mfupa wao washauzoea hivyo jambo lao wanalimaliza
safari hii na mbwai ita kua mbwai afe kipa afe beki.
Kanji anaona tofauti kabisa ,
Yeye anaona Yanga ana mfupa mwepesi zaidi ..
Kwanini..
Simba ana Odd kibwa kuliko mpizani wake Al ahly licha ya kuwa nyumbani .
Simba ana odd kuzidi Yanga ambae anasemwa kuwa underdog na mgeni wa mashindano
Mamelody ana odd kubwa kuliko Yanga na hii maana yake Yanga ana ingia kwenye mechi akiwa kama favourite
Sijui kanji kaangalia vigezo gani ila ninacho jua kuwa Ods zina pangwa kutikana takwimu, uwezo wa timu na historia zake.View attachment 2941091
Kanji anataka kutajirisha watu. Mkuu weka milion hapo kwa Yanga upate milioni tatu. Unakwama wapi?Ukiingia mtaani mashabiki walio wengi wanaamini kwamba Yanga ndio ana mechi ngumu zaidi ya Simba , mashabiki wa yanga wali ingia unyonge baada ya Droo kupangwa,
Huku wa Simba wakitamba kwamba mfupa wao washauzoea hivyo jambo lao wanalimaliza
safari hii na mbwai ita kua mbwai afe kipa afe beki.
Kanji anaona tofauti kabisa ,
Yeye anaona Yanga ana mfupa mwepesi zaidi ..
Kwanini..
Simba ana Odd kibwa kuliko mpizani wake Al ahly licha ya kuwa nyumbani .
Simba ana odd kuzidi Yanga ambae anasemwa kuwa underdog na mgeni wa mashindano
Mamelody ana odd kubwa kuliko Yanga na hii maana yake Yanga ana ingia kwenye mechi akiwa kama favourite
Sijui kanji kaangalia vigezo gani ila ninacho jua kuwa Ods zina pangwa kutikana takwimu, uwezo wa timu na historia zake.View attachment 2941091
Most of time wenye akili pungufu huwa wanadhani wako timamuASANTE MUNGU KWA KUNIPA AKILI TIMAMU
Pesa rahisi rahisiKanji anataka kutajirisha watu. Mkuu weka milion hapo kwa Yanga upate milioni tatu. Unakwama wapi?
Wewe hujaelewa.Msome mleta mada utaona ninachosema. Mfano anasema Mamelodi ana "odds" kubwa kwa maana hiyo Yanga ndiyo "favorites", hilo linaleta mantiki kwako? Anasema Simba ana "odds" kubwa licha ya kuwa nyumbani, hivi kuwa nyumbani si ni moja ya sababu zilizomuongezea odds Simba?
Anasema kinachosemwa mtaani na anachosema Kanji ni tofauti wakati hizo "odds" alizoleta za Kanji zinaendana na kinachosemwa mtaani.
Sijui watu wanawezaje kubeti kwa usahihi huku wakiwa na kasoro katika uelewa wa jambo muhimu kama "odds".
Soma tena nilicho andika boss , ni kama ume miss point.Wewe hujaelewa.
Linganisha odds za Ahly 2.15 ukilinganisha na odds za Mamelod 2.78.
Hapo kampuni la betting linaamini Ahly ana nafasi kubwa kushinda. Wakati jamii inaamini Mamelod ndio mwenye nafasi kubwa kushinda.
Nilichoandika ndio ulichosema wewe ila nimetumia maneno tofauti. Nimewatumia wapinzani kama reference.Soma tena nilicho andika boss , ni kama ume miss point.