University_Promo
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 749
- 661
Naona kadiri jukwaa linavyozidi kukua ndio great thinkers wanazidi kupungua...naamini wewe na wengine wenye mtazamo kama wako mmeshindwa kuangalia mtiririko wa kanuni za maisha .....Diamond platinums haitaji kuwa kwenye siasa wacha kutudanganya mkuu.View attachment 891689View attachment 891692
Usimchukie binadamu mwenzako kiasi hicho, ni hatari kwa afya yako
Kikubwa anachopaswa kumakinika nacho Diamond ni kaliba ya watu waliomzunguka wakijifanya marafiki wema kwake...Hawa ni aina ya watu wanaotaka tu kumtumia kwa maslahi binafsi ya kisiasa...hawako tayari kumuona Diamond akiwa mnga'vu kuliko wao kwenye ulingo wa siasa.....Mada ya kawaida yenye ujumbe mzito sana ndani hasa ile aya ya mwisho.
Naona wengi hawakuelewa alichoandika hapa ...alitumika kisha atalekezwa kama lile karatasi laini[emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562]Kikubwa anachopaswa kumakinika nacho Diamond ni kaliba ya watu waliomzunguka wakijifanya marafiki wema kwake...Hawa ni aina ya watu wanaotaka tu kumtumia kwa maslahi binafsi ya kisiasa...hawako tayari kumuona Diamond akiwa mnga'vu kuliko wao kwenye ulingo wa siasa.....
Daudi BashieMahali alipo makonda sio salama kabisa...... huyo Makonda na element za uchawi kabisa. diamond awe makini sana na huyu mtu sio salama kwa biashara yake
Mbona alichosema neytrueboy hukisemi akimwambia DiamondNaona wengi hawakuelewa alichoandika hapa ...alitumika kisha atalekezwa kama lile karatasi laini[emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562]View attachment 891799
Kwani mada inamhusu nani?Mbona alichosema neytrueboy hukisemi akimwambia DiamondView attachment 891810
Nilisahau itakuwa tawileKwani mada inamhusu nani?
Silvio Berlusconi, Alikuwa Tajiri na Akili Mingi.. Kupenda totoz ndio uhuni?Belusconi waziri mkuu muhuni.
Mshana Jr, kilingeni kwema huko?
Asante!Hapana starehe
Inawachanganya FlyoverHapana starehe
Ndiye alikuwa anaimiliki timu ya AC MilanBelusconi waziri mkuu muhuni.
Mshana Jr, kilingeni kwema huko?