Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Mimi siwezi kumchagua muuaji,hata iweje!Magufuli ni muuaji!Wengi wanakuja kumuona baada ya kunusurika kufa hivyo taarifa ya kupigwa kwake wanayo. Hapohapo wanapokuja kumshangaa ndio atumie fursa kuwaeleza Cha maana, maana wanaweza wasirudi Tena Kama vile, maana kushangaa Ni Mara moja.
Nadhani hata yeye alikuja akiwa amevaa ma bullet proof mengi mwilini akidhani anakwenda kufa, hadi Sasa anashangaa nchi imejengwa kila Kona na hakuna anayehangaika naye sana
Kwani kampeni zimeanza???Bila shaka yoyote hata Lissu mwenye hana Raha kwa Sasa maana haamini ni kwanini hajakamatwa na kuwekwa ndani mpaka Sasa hata baada ya kusema Yale aliyokuwa akiyasema kuhusu serikali wakati ikiwa nje ya nchi.
Hakuna ubishi kuwa aliposema anarudi na siku ya kurudi Tanzania alisindikizwa na vyombo vingi vya habari vya nje ili kuandika na kuripoti kile kitakachompata Lissu atakapotua Airport Tanzania.
Rais JPM amedhihirisha kuwa amedhamiria kuijenga upya Tanzania na hana sababu nyingine moyoni mwake. Ameonyesha kuwa hana nia mbaya zaidi ya kupambana na ubadhilifu, rushwa na njama za wawekezaji wabaya.
Mpaka Sasa kalamu za vyombo vingi vya habari vilivyotaka kuandika habari za lissu kurejea zimekauka wimo kwa kukosa Cha maana cha kuandika. Bahati mbaya mheshimiwa Lissu mpaka Sasa sijamsikia bado akisema kile atakachowafanyia watanzania punde atakapofika ikulu Kama atashinda uchaguzi, badala yake mpaka sasa muda mwingi anautumia kueleza alivyopigwa Dodoma.
Anasahau kuwa habari ya kupigwa kwake ziliandikwa Sana na kutangazwa Sana wakati yeye yuko nje ya nchi kwa matibabu, hivyo watu wanazifahamu sana hivyo hakuna haja ya kuwapotezea watu muda kuizungumzia Tena kirefu majukwaani zaidi ya kushukuru kwa dk moja tu Kisha atueleze namna atakavyofanya kwenye madini, utalii, kilimo, ufugaji, uvuvi, utawala bora, usalama, makazi..kwa kifupi wakati tukisubiri kampeni zianze rasmi.
Uzuri na ubaya wa Rais wao wanaufahamu Sana hata wao, hivyo asipoteze muda kuwasimulia watu ambao walikuwepo Tanzania kwa miaka yote 5 ya awamu ya tano, maana wao wanafahamu Sana kuliko yeye ambae hakuwepo nchini kwa miaka 3.
Anachotakiwa Lissu Ni atumie muda kidogo alionao kuwaambia wananchi ataifanyia Nini Tanzania akifika ikulu.
Ukomavu huu wa serikali ya JPM umeishangaza dunia kusema ukweli, hasa wale waliotarajia mshikemshike pale Airport.
Waoumbav wakubwa,nani kawapa mamlaka ya kuamua siasa zifanyike kwa miezi miwili tu huku nyinyi mkifanya siasa miaka 5?Hatutaki wavunja katib,piga chini Magufuli na Ccm yake!Hiyo inafahamika kuwa muda wao wa siasa ni huu Kama watautumia vibaya Basi Tena. Kama vyama vina akili nzuri wautumie muda huu kufungua matawi vijijini nchi nzima kwakuwa siasa zimedunguliwa ili wajiandae kwa uchaguzi wa 2025 badala ya kupoteza rasilimali zao kidogo kwenye uchaguzi wa 2020 ambao kushinda Ni 1.7%. maana baada ya Uchaguzi huu kumalizika hakutakuwa na siasa Tena mpaka 2025.
Bila shaka yoyote hata Lissu mwenye hana Raha kwa Sasa maana haamini ni kwanini hajakamatwa na kuwekwa ndani mpaka Sasa hata baada ya kusema Yale aliyokuwa akiyasema kuhusu serikali wakati ikiwa nje ya nchi.
Hakuna ubishi kuwa aliposema anarudi na siku ya kurudi Tanzania alisindikizwa na vyombo vingi vya habari vya nje ili kuandika na kuripoti kile kitakachompata Lissu atakapotua Airport Tanzania.
Rais JPM amedhihirisha kuwa amedhamiria kuijenga upya Tanzania na hana sababu nyingine moyoni mwake. Ameonyesha kuwa hana nia mbaya zaidi ya kupambana na ubadhilifu, rushwa na njama za wawekezaji wabaya.
Mpaka Sasa kalamu za vyombo vingi vya habari vilivyotaka kuandika habari za lissu kurejea zimekauka wimo kwa kukosa Cha maana cha kuandika. Bahati mbaya mheshimiwa Lissu mpaka Sasa sijamsikia bado akisema kile atakachowafanyia watanzania punde atakapofika ikulu Kama atashinda uchaguzi, badala yake mpaka sasa muda mwingi anautumia kueleza alivyopigwa Dodoma.
Anasahau kuwa habari ya kupigwa kwake ziliandikwa Sana na kutangazwa Sana wakati yeye yuko nje ya nchi kwa matibabu, hivyo watu wanazifahamu sana hivyo hakuna haja ya kuwapotezea watu muda kuizungumzia Tena kirefu majukwaani zaidi ya kushukuru kwa dk moja tu Kisha atueleze namna atakavyofanya kwenye madini, utalii, kilimo, ufugaji, uvuvi, utawala bora, usalama, makazi..kwa kifupi wakati tukisubiri kampeni zianze rasmi.
Uzuri na ubaya wa Rais wao wanaufahamu Sana hata wao, hivyo asipoteze muda kuwasimulia watu ambao walikuwepo Tanzania kwa miaka yote 5 ya awamu ya tano, maana wao wanafahamu Sana kuliko yeye ambae hakuwepo nchini kwa miaka 3.
Anachotakiwa Lissu Ni atumie muda kidogo alionao kuwaambia wananchi ataifanyia Nini Tanzania akifika ikulu.
Ukomavu huu wa serikali ya JPM umeishangaza dunia kusema ukweli, hasa wale waliotarajia mshikemshike pale Airport.
Wengi wanakuja kumuona baada ya kunusurika kufa hivyo taarifa ya kupigwa kwake wanayo. Hapohapo wanapokuja kumshangaa ndio atumie fursa kuwaeleza Cha maana, maana wanaweza wasirudi Tena Kama vile, maana kushangaa Ni Mara moja.
Nadhani hata yeye alikuja akiwa amevaa ma bullet proof mengi mwilini akidhani anakwenda kufa, hadi Sasa anashangaa nchi imejengwa kila Kona na hakuna anayehangaika naye sana
Bila shaka yoyote hata Lissu mwenye hana Raha kwa Sasa maana haamini ni kwanini hajakamatwa na kuwekwa ndani mpaka Sasa hata baada ya kusema Yale aliyokuwa akiyasema kuhusu serikali wakati ikiwa nje ya nchi.
Hakuna ubishi kuwa aliposema anarudi na siku ya kurudi Tanzania alisindikizwa na vyombo vingi vya habari vya nje ili kuandika na kuripoti kile kitakachompata Lissu atakapotua Airport Tanzania.
Rais JPM amedhihirisha kuwa amedhamiria kuijenga upya Tanzania na hana sababu nyingine moyoni mwake. Ameonyesha kuwa hana nia mbaya zaidi ya kupambana na ubadhilifu, rushwa na njama za wawekezaji wabaya.
Mpaka Sasa kalamu za vyombo vingi vya habari vilivyotaka kuandika habari za lissu kurejea zimekauka wimo kwa kukosa Cha maana cha kuandika. Bahati mbaya mheshimiwa Lissu mpaka Sasa sijamsikia bado akisema kile atakachowafanyia watanzania punde atakapofika ikulu Kama atashinda uchaguzi, badala yake mpaka sasa muda mwingi anautumia kueleza alivyopigwa Dodoma.
Anasahau kuwa habari ya kupigwa kwake ziliandikwa Sana na kutangazwa Sana wakati yeye yuko nje ya nchi kwa matibabu, hivyo watu wanazifahamu sana hivyo hakuna haja ya kuwapotezea watu muda kuizungumzia Tena kirefu majukwaani zaidi ya kushukuru kwa dk moja tu Kisha atueleze namna atakavyofanya kwenye madini, utalii, kilimo, ufugaji, uvuvi, utawala bora, usalama, makazi..kwa kifupi wakati tukisubiri kampeni zianze rasmi.
Uzuri na ubaya wa Rais wao wanaufahamu Sana hata wao, hivyo asipoteze muda kuwasimulia watu ambao walikuwepo Tanzania kwa miaka yote 5 ya awamu ya tano, maana wao wanafahamu Sana kuliko yeye ambae hakuwepo nchini kwa miaka 3.
Anachotakiwa Lissu Ni atumie muda kidogo alionao kuwaambia wananchi ataifanyia Nini Tanzania akifika ikulu.
Ukomavu huu wa serikali ya JPM umeishangaza dunia kusema ukweli, hasa wale waliotarajia mshikemshike pale Airport.
Hivi mimba hiyo haijazaliwa tu ?!. Nenda Gwajma akuombee utawehukaMbowe alishatoa tamko la kuangushwa na konyagi?
Hata Joe Biden kampeni bado lakini kashasema kile anachokwenda kukisimamia kwa uchache. JPM kila anapokwenda anasema kwa ufupi mafanikio yake na kile atakachokwenda kuendelea nacho ambacho hata wewe unakisubiri kwa hamu Kama vile umeme mwingi, umeme vijijini, maji, reli ya kwenda hadi singida na kupitiliza.Mpo wapuuzi wengi nchi hii. Lissu alikuwa anatafuta wadhamini wewe unadai sera !!. Huyu unayemuabudu ana sera gani inayoenda ki mpango ?! Zaidi kuwa akiamka anajiamulia !!.
Mambo ya kunyamazisha watu sera gani hiyo ?!
Subiri Jtano utaanza kuwasikia wote hata kina Lipumba, Rungwe, Maghufuli, nk. Usihangaike na Lissu, kama humpendi mnyime kura yako basiHata Joe Biden kampeni bado lakini kashasema kile anachokwenda kukisimamia kwa uchache. JPM kila anapokwenda anasema kwa ufupi mafanikio yake na kile atakachokwenda kuendelea nacho ambacho hata wewe unakisubiri kwa hamu Kama vile umeme mwingi, umeme vijijini, maji, reli ya kwenda hadi singida na kupitiliza.
Kaka kilichoujaza moyo wako ndicho kinachokutoka.
Aliyempiga risasi hajatubu, Yuko anazunguka kwenye makanisaBila shaka yoyote hata Lissu mwenye hana Raha kwa Sasa maana haamini ni kwanini hajakamatwa na kuwekwa ndani mpaka Sasa hata baada ya kusema Yale aliyokuwa akiyasema kuhusu serikali wakati ikiwa nje ya nchi.
Hakuna ubishi kuwa aliposema anarudi na siku ya kurudi Tanzania alisindikizwa na vyombo vingi vya habari vya nje ili kuandika na kuripoti kile kitakachompata Lissu atakapotua Airport Tanzania.
Rais JPM amedhihirisha kuwa amedhamiria kuijenga upya Tanzania na hana sababu nyingine moyoni mwake. Ameonyesha kuwa hana nia mbaya zaidi ya kupambana na ubadhilifu, rushwa na njama za wawekezaji wabaya.
Mpaka Sasa kalamu za vyombo vingi vya habari vilivyotaka kuandika habari za lissu kurejea zimekauka wimo kwa kukosa Cha maana cha kuandika. Bahati mbaya mheshimiwa Lissu mpaka Sasa sijamsikia bado akisema kile atakachowafanyia watanzania punde atakapofika ikulu Kama atashinda uchaguzi, badala yake mpaka sasa muda mwingi anautumia kueleza alivyopigwa Dodoma.
Anasahau kuwa habari ya kupigwa kwake ziliandikwa Sana na kutangazwa Sana wakati yeye yuko nje ya nchi kwa matibabu, hivyo watu wanazifahamu sana hivyo hakuna haja ya kuwapotezea watu muda kuizungumzia Tena kirefu majukwaani zaidi ya kushukuru kwa dk moja tu Kisha atueleze namna atakavyofanya kwenye madini, utalii, kilimo, ufugaji, uvuvi, utawala bora, usalama, makazi..kwa kifupi wakati tukisubiri kampeni zianze rasmi.
Uzuri na ubaya wa Rais wao wanaufahamu Sana hata wao, hivyo asipoteze muda kuwasimulia watu ambao walikuwepo Tanzania kwa miaka yote 5 ya awamu ya tano, maana wao wanafahamu Sana kuliko yeye ambae hakuwepo nchini kwa miaka 3.
Anachotakiwa Lissu Ni atumie muda kidogo alionao kuwaambia wananchi ataifanyia Nini Tanzania akifika ikulu.
Ukomavu huu wa serikali ya JPM umeishangaza dunia kusema ukweli, hasa wale waliotarajia mshikemshike pale Airport.
MARA SIMBA DAY ,MO DEWJI KUMPIGIA KAMPENI MAGUWenzio hawalali kisa LISU.
Mara viongozi wa dini kupongeza mafanikio ya AWAMU ya tano.
Mara wasanii 200 uwanja wa Mkapa (Taifa)
Mara tuzo ya corona kule miyuji kutoka Kanisani (TAG)
Mara viongozi wa dini kuombea uchaguzi, mgeni rasmi Mwenyekiti wa ccm ambaye pia ni mgombea URAIS.
Leo kuzindua kabisa chamwino.
MAKANISA YANATUMIKA KWA KAMPENI , IGP, TUME YA UCHAGUZI KIMYA.
.... It has eaten your side.Yaani ulitaka aanze kumwaga sera ili mpate pakumkamatia kwamba kaanza kampeni mapema? It has eaten your side (tafsri ya moja kwa moja).
Hakuna anayesema kuwa upinzani hakuna Tanzania, Goliath alimdharau Daudi akakiona Cha mtemakuni. Tunachosema upinzani hauko makini, unalaumu unalaumu unalaumu hadi mwisho badala ya kujikita, focus kwenye njia mbadala za namna shida zetu tutaziondoa, namna ya kupata katiba nzuri, tume ya Uchaguzi na uchumi wa taifa na watu. Unapofoka na kutukana jukwaani unawaogopesha watu ambao hawajazoea kusikia lugha hiyo ambao bado wako wengi Tanzania.Wenzio hawalali kisa LISU.
Mara viongozi wa dini kupongeza mafanikio ya AWAMU ya tano.
Mara wasanii 200 uwanja wa Mkapa (Taifa)
Mara tuzo ya corona kule miyuji kutoka Kanisani (TAG)
Mara viongozi wa dini kuombea uchaguzi, mgeni rasmi Mwenyekiti wa ccm ambaye pia ni mgombea URAIS.
Leo kuzindua kabisa chamwino.
MAKANISA YANATUMIKA KWA KAMPENI , IGP, TUME YA UCHAGUZI KIMYA.
Asiyejua kwamba kisha Anza kampeni ni nani? Kwa taarifa yako hana jipyaYaani ulitaka aanze kumwaga sera ili mpate pakumkamatia kwamba kaanza kampeni mapema? It has eaten your side (tafsri ya moja kwa moja).
Bila shaka yoyote hata Lissu mwenye hana Raha kwa Sasa maana haamini ni kwanini hajakamatwa na kuwekwa ndani mpaka Sasa hata baada ya kusema Yale aliyokuwa akiyasema kuhusu serikali wakati ikiwa nje ya nchi.
Hakuna ubishi kuwa aliposema anarudi na siku ya kurudi Tanzania alisindikizwa na vyombo vingi vya habari vya nje ili kuandika na kuripoti kile kitakachompata Lissu atakapotua Airport Tanzania.
Rais JPM amedhihirisha kuwa amedhamiria kuijenga upya Tanzania na hana sababu nyingine moyoni mwake. Ameonyesha kuwa hana nia mbaya zaidi ya kupambana na ubadhilifu, rushwa na njama za wawekezaji wabaya.
Mpaka Sasa kalamu za vyombo vingi vya habari vilivyotaka kuandika habari za lissu kurejea zimekauka wimo kwa kukosa Cha maana cha kuandika. Bahati mbaya mheshimiwa Lissu mpaka Sasa sijamsikia bado akisema kile atakachowafanyia watanzania punde atakapofika ikulu Kama atashinda uchaguzi, badala yake mpaka sasa muda mwingi anautumia kueleza alivyopigwa Dodoma.
Anasahau kuwa habari ya kupigwa kwake ziliandikwa Sana na kutangazwa Sana wakati yeye yuko nje ya nchi kwa matibabu, hivyo watu wanazifahamu sana hivyo hakuna haja ya kuwapotezea watu muda kuizungumzia Tena kirefu majukwaani zaidi ya kushukuru kwa dk moja tu Kisha atueleze namna atakavyofanya kwenye madini, utalii, kilimo, ufugaji, uvuvi, utawala bora, usalama, makazi..kwa kifupi wakati tukisubiri kampeni zianze rasmi.
Uzuri na ubaya wa Rais wao wanaufahamu Sana hata wao, hivyo asipoteze muda kuwasimulia watu ambao walikuwepo Tanzania kwa miaka yote 5 ya awamu ya tano, maana wao wanafahamu Sana kuliko yeye ambae hakuwepo nchini kwa miaka 3.
Anachotakiwa Lissu Ni atumie muda kidogo alionao kuwaambia wananchi ataifanyia Nini Tanzania akifika ikulu.
Ukomavu huu wa serikali ya JPM umeishangaza dunia kusema ukweli, hasa wale waliotarajia mshikemshike pale Airport.
[/QUOTEJ
Jpm Yule muuaji
Kwa nini anayekuwa kinyume na wewe unawaita wapumbavu??Wapumbav mmekosa cha kusema mnabadilika kama vinyonga!Lissu hajawahi kuwa muoga kusema kile anachoamini hadharani!
Swali ni je,mna mpango wa kumtanga tena risasi baada ya uchaguzi kama ataendelea kuongea?Kama ni kwa utaratibu wa kisheria,ni kosa gani ambalo kwenye uchaguzi linakuwa sio kosa na uchaguzi ukiisha linakuwa kosa?
Mataga mmepagawa kuona Lissu hatetereki,shwain!
Nilicho gundua mimi wa tz ni wanafiki sana enzi za kikwete aliitwa majna mengi sana, wengine walisema rais gani kila siku ulaya, wengine wakasema rais dhaifu,mara rais anachekacheka mara huyu shemeji, inchi tajiri tz tuna kosa ndege tunazidiwa rwanda. Mungu kamleta magufuri na kafanya makubwa kwa mda mfupi tu,lakini watu wanapiga keleleeeee, mzee wa watu kikwete alijitahidi hata kuhuzuria miziba kila wakati lakini watu walibeza wakamuita mzee wa misiba. Rais magufuri kama unapitia hapa nakushauri ukishinda uchaguzi mkuu fanya ufisadi wa nguvu sana iba kabisa nenda uraya kale bata kila mwisho wa week maana sisi watanzania ni wanafaki sana na hatuna jema,hatuna shukurani kabisa mungu akulinde amina.
kama habari za kupigwa risasi mnazifahamu kwa nini hamchukui hatua sasa! Au mnaona jpm kumpiga risasi ilikuwa sawa tu. Leo kanisani alikuwa kufanya nini kama alitaka kuua mtu. Amuite lisu amuombe msamaha na ajiuzuru pia kwani amefanya mauaji mengi ndani ya mda mfupi. Mnataka tuyanyamanzie mauaji ili muendelee kuuaBila shaka yoyote hata Lissu mwenye hana Raha kwa Sasa maana haamini ni kwanini hajakamatwa na kuwekwa ndani mpaka Sasa hata baada ya kusema Yale aliyokuwa akiyasema kuhusu serikali wakati ikiwa nje ya nchi.
Hakuna ubishi kuwa aliposema anarudi na siku ya kurudi Tanzania alisindikizwa na vyombo vingi vya habari vya nje ili kuandika na kuripoti kile kitakachompata Lissu atakapotua Airport Tanzania.
Rais JPM amedhihirisha kuwa amedhamiria kuijenga upya Tanzania na hana sababu nyingine moyoni mwake. Ameonyesha kuwa hana nia mbaya zaidi ya kupambana na ubadhilifu, rushwa na njama za wawekezaji wabaya.
Mpaka Sasa kalamu za vyombo vingi vya habari vilivyotaka kuandika habari za lissu kurejea zimekauka wimo kwa kukosa Cha maana cha kuandika. Bahati mbaya mheshimiwa Lissu mpaka Sasa sijamsikia bado akisema kile atakachowafanyia watanzania punde atakapofika ikulu Kama atashinda uchaguzi, badala yake mpaka sasa muda mwingi anautumia kueleza alivyopigwa Dodoma.
Anasahau kuwa habari ya kupigwa kwake ziliandikwa Sana na kutangazwa Sana wakati yeye yuko nje ya nchi kwa matibabu, hivyo watu wanazifahamu sana hivyo hakuna haja ya kuwapotezea watu muda kuizungumzia Tena kirefu majukwaani zaidi ya kushukuru kwa dk moja tu Kisha atueleze namna atakavyofanya kwenye madini, utalii, kilimo, ufugaji, uvuvi, utawala bora, usalama, makazi..kwa kifupi wakati tukisubiri kampeni zianze rasmi.
Uzuri na ubaya wa Rais wao wanaufahamu Sana hata wao, hivyo asipoteze muda kuwasimulia watu ambao walikuwepo Tanzania kwa miaka yote 5 ya awamu ya tano, maana wao wanafahamu Sana kuliko yeye ambae hakuwepo nchini kwa miaka 3.
Anachotakiwa Lissu Ni atumie muda kidogo alionao kuwaambia wananchi ataifanyia Nini Tanzania akifika ikulu.
Ukomavu huu wa serikali ya JPM umeishangaza dunia kusema ukweli, hasa wale waliotarajia mshikemshike pale Airport.