Kula uone kama hujalia meeeMbuzi hula kwa urefu wa kamba
Ikikatika atavuka barabara kwa tahadhali
Nauliza hawa mbuzi wanao zurura hapa bongo mliki ni nani? Mbona wanafaa kwa mishikaki[emoji23]
HehehMtatuua yaani asubuhi asubuhi naamshwa na text ""baby leo ni girl friend day naomba zawadi""
Tangu nizaliwe ndio leo naisikia hii siku, kumbe ipo kweli nimeingia mtandaoni nimeikuta.
Sasa huyu bibie ana sherehe kadhaa kwa mwaka na zote zinataka zawadi, valentine day, girlfriend day, women day, mothers day. birth day tatu kwa mwaka.
Mtatuua
Hata valentine day ilianza kimadihara huku Tz miaka haizidi ishirini,zamani wala haikuwepo,kama demu wako ni somoe wa vingunguti hawezi kuyajua hayoTANZANIA MBONA HATUNA HUO UTAMADUNI WA GIRLFRIEND DAY?
sikukuu zingine kufata mikumbo tuHata valentine day ilianza kimadihara huku Tz miaka haizidi ishirini,zamani wala haikuwepo,kama demu wako ni somoe wa vingunguti hawezi kuyajua hayo
Huo anapewa bila hiana labda zawadi ya mimba tu ili akili zimkae sawaAchana nae, mwambie zawadi pekee
AJE GHEZO UMPE MKUNYENGE.....!!
[emoji123][emoji123][emoji123]