Anae nidrive craizy ni kicheche.

Anae nidrive craizy ni kicheche.

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Hello jf!ebana,yan me kati ya wasichana wangu wote nlio na uhusiano nao,anae nichanganya zaidi ni kicheche,yani huyu hata 2kiznguana kidogo bac me nitajishusha yaishe,huyu ndo nina hisia nae,huyu ndo nahc kumpenda kwa dhati.tatzo liko sehem moja,ye anagawa pembeni na me ninagawa vile vile!!je,2naweza 2kafanya ki2 flani ambacho kinaweza kubadili uhusiano we2 ukawa ni wenye maana zaidi kuliko ulivyo sasa??
 
Yes, kama kwake naye ni wewe unaye "mdraivu krayize~", pimeni, mwoe, kisha mbebeshe ki-baby!! Else, play on play on playa!!
 
senetor, u need proffessional help! kwenye zama hizi za ukimwi?
 
Hello jf!ebana,yan me kati ya wasichana wangu wote nlio na uhusiano nao,anae nichanganya zaidi ni kicheche,yani huyu hata 2kiznguana kidogo bac me nitajishusha yaishe,huyu ndo nina hisia nae,huyu ndo nahc kumpenda kwa dhati.tatzo liko sehem moja,ye anagawa pembeni na me ninagawa vile vile!!je,2naweza 2kafanya ki2 flani ambacho kinaweza kubadili uhusiano we2 ukawa ni wenye maana zaidi kuliko ulivyo sasa??
Inaonyesha hamridhishani au
Ni vicheche tu
subirini kinga ipungue muanze dawa
Mwisho oaneni kabisa ili muanze kufumaniana.
 
Demu anakuona hauko serious, hauko committed ndio maana na yeye hayuko serious, hayuko committed. Yaani hapo wewe ni kama marekani unapigana vita nyiingi na huwezi kuconcentrate na yoyote wala kushinda yoyote. Pia kwakuwa hamko serious ndio maana unamzimia sana kwakuwa mna spend little time together. Ukiamua kuwa serious na kuspend lots of time together unaweza ukagundua demu sio magoli kiivyo.

However, kama unataka kummiliki kikweli inabidi u-get serious. Na u-invest time, energy, military, politiko (mashairi na sera kama Lukuvi), financial, emotional na psychological Resources. Utavuna unachopanda. Ukipanda seriousness, committment, true love & affection utavuna hicho hicho & vice versa.
 
Unasema yeye kicheche na wewe una gonga nje vile vile yani kwaufupi nyote Vicheche.....pole sana usawa wenyewe huu wa manati Mungu akuondolee balaa ulilonao.
 
fuata ushauri wa post # 8 utakusaidia ikiwa huyo demu unampenda kiukweli.
 
Achana nae hakuna kitu ambacho utakujajutia kama kuoa kicheche maana kama anafanya sasa hapo baadae atashindwaje?
 
hata yeye atasema mpenzi wake anaempenda ni kicheche, ngoma droo.
 
Hapo mmekutana vicheche wawili hakuna tatizo.
 
Hello jf!ebana,yan me kati ya wasichana wangu wote nlio na uhusiano nao,anae nichanganya zaidi ni kicheche,yani huyu hata 2kiznguana kidogo bac me nitajishusha yaishe,huyu ndo nina hisia nae,huyu ndo nahc kumpenda kwa dhati.tatzo liko sehem moja,ye anagawa pembeni na me ninagawa vile vile!!je,2naweza 2kafanya ki2 flani ambacho kinaweza kubadili uhusiano we2 ukawa ni wenye maana zaidi kuliko ulivyo sasa??

Wewe Choko au SHOGA? Yaani unaliwa ndogo?
 
fanya kitu kwenye hayo mahusiano, la sivyo utakuja juta, mi nilidhni wanaume wanapenda wao tu wafanye nje wanawake zao no, ss wewe imekuaje unakubaliana na hiyo hali, au mliandikiana mkataba?
 
wote ni balaa kumbe sasa kaeni muamue kuacha maisha ya ajabu na mfanye mambo ya maana
 
Back
Top Bottom