CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,067
hawajarahisisha wameyashikilia
yaani unamaanisha maisha yako umeshikiliziwa na mtu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawajarahisisha wameyashikilia
Kwa hiyo wewe hautumii pesa.....What a fool..
Unalishwa mavi unakula kisha unakuja kulalamika mavi ni mabaya wakati unabugia...
Hama hii dunia / au kufa kabisa...
Fool kabisa wewe..
yaani unamaanisha maisha yako umeshikiliziwa na mtu?
bila yeye huli,husafiri,husomi,hununui ukipendacho,hujengi nk
bila hela unajisikiaje ?
Unamzungumzia nani, mnyama?
ndio mwenye akili na utashi
kwa hiyo mpaka sasa mnyama ameshashika hatamu!?
Habari wana JF,
Naomba kusaidiwa kujua jibu la swali langu, ni vigezo gani vinazingatiwa wakati wa kuchapishwa pesa?
Kwa mfano Tanzania ikitaka idadi ya noti za shilingi 10,000 zichapishwe 1,000,000 ni vigezo au masharti yepi inabidi itimizwe au wanatoa tu idadi ya noti?
Au idadi ya noti za kila nchi ni sawa?
Ubandia wake ni kwamba, zinakuwa hazipo ktk register ya benki kuu.Huo ubandia wake unakujaje? Asante kwa swali
wapi nimeandika situmi pesa?
umetumia kipimo gani na kipi kujua mi mjinga?
wewe si ndo genius mjibu mleta mada?
we si level yangu
Kuna kitu wanaita GOLD MONETARY SYSTEM, hadhina ya dhahabu ktk benki kuu ndio ina determine viwango vya pesa mpya.Mara nyingi pesa ni kama hati halali ya malipo tu lakini dhamani yenyewe huwa ni dhamani ya dhahabu. Mbali na hivyo kuna kitu ambacho hadi leo ni taharuki "ukiangalia gharama inayotengeza coin & note ni kubwa kuliko dhamani ya pesa yenyewe"
Hapo umenichanganya kabisa mkuu. Tuseme gharama yakutengeneza noti ya shiling 500 nikubwa kuliko thamani ya noti yenyewe? Inawezekana kutengeneza noti hiyo inafika tsh 1000 ili ikamilike?
Cc KUFALAZIMA