Adhabu ni kuchagua!
Tunajaza wafungwa wa bure magerezani!
Nashauri adhabu kwa yeyote anaelawiti watoto wadogo! Awe mwalimu, shekhe, mchungaji, padri,dereva, mjomba, kaka, baba, bodaboda au jirani.
IKITHIBITIKA Kalawiti au kubaka ADHABU IWE NI KUHASIWA, na viboko 6 kila siku mfululizo ndani ya siku 30!
Halafu baada ya hapo Abandikwe mhuri wa moto kwenye paji la USO!
Ili jamii itambue kwamba aliyeko mbele yao ni mlawiti!!
Kuna watu jamii inawategemea sana lakini wamekuwa wanyama!
Kuwafunga haisaidii kwanza ni hasara! TUSIOGOPE KUWAHASI WALAWITI NA WABAKAJI! Wabaki uraiani walee mimba zao zilizotokana na ubakaji lakini WABAKIE KUWA MAHANITHI maisha yao yote! Na mhuri wa moto usoni!
Tutakuwa tumeokoa pesa za kuwahudumiahuko gerezanj, pia kama binti aliyezaa anarudi shule basi na hawa WABAKAJI tutakuwa tumewapa chance ya pili ya kuishi na jamii na familia zao huku wakiwa MAHANITHI!
Tunajaza wafungwa wa bure magerezani!
Nashauri adhabu kwa yeyote anaelawiti watoto wadogo! Awe mwalimu, shekhe, mchungaji, padri,dereva, mjomba, kaka, baba, bodaboda au jirani.
IKITHIBITIKA Kalawiti au kubaka ADHABU IWE NI KUHASIWA, na viboko 6 kila siku mfululizo ndani ya siku 30!
Halafu baada ya hapo Abandikwe mhuri wa moto kwenye paji la USO!
Ili jamii itambue kwamba aliyeko mbele yao ni mlawiti!!
Kuna watu jamii inawategemea sana lakini wamekuwa wanyama!
Kuwafunga haisaidii kwanza ni hasara! TUSIOGOPE KUWAHASI WALAWITI NA WABAKAJI! Wabaki uraiani walee mimba zao zilizotokana na ubakaji lakini WABAKIE KUWA MAHANITHI maisha yao yote! Na mhuri wa moto usoni!
Tutakuwa tumeokoa pesa za kuwahudumiahuko gerezanj, pia kama binti aliyezaa anarudi shule basi na hawa WABAKAJI tutakuwa tumewapa chance ya pili ya kuishi na jamii na familia zao huku wakiwa MAHANITHI!