Hapa kila mtu nazakeee[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji2]
Aiseeee!! Hayo maisha n hatar
Ila wanawake mnayaweza
Kuna nchi ndo wana hayo
Maisha yan unaweza kuamka
Asubuh ukapishana na landlord
,neyba wako au hata yule wa opposite
Na ww lakin mtapishana kama
Umepisha na mti ukisalimia wala hata
Hana habar na,salam yako
Nouma sana hii
Wee hujui tu yaniUsimlaumu yeye jilaumu wewe ulieshindwa kukaa kimya, hahah, kitu kikishakuwa siri, unatakiwa ujue peke yako, kama na wewe uliambiwa hiyo si siri tena. Kwa hiyo ukiona unamwambia rafikiyo siri ujue umeshindwa kuitunza unamtafuta wa kukusaidia kuitunza, na yeye kashindwa kuitunza kaipeleka ikatunzwe na wahusika.😀😀😀😀😀😀😀😀😀
pole mno.
aisee mnaishi wote pamojaTupo wanawake watatu hapa saivi Kila mmoja haongei na mwenzie. buyu buyu tu hakuna hata habari za nisogezee kijiko sijui kimyaaaaaa
Hao n wale watu hawawezHapa kila mtu nazakeee
Sijui nani atamuanza mwenzie hapa labda itokee emergency ambapo automatic tutajikuta tunaongea
Binafsi roho inaniuma sana nikiwaza kwanini amweleze huyo mama habari za mume wake??!! Alitarajia nini???
umepata cha kujifunza usimwamini mtu haswa marafiki hawaNdio mamii ila Kila mtu napake. Nivile tu sehemu moja niseme
POLE SANA MAMY...AU UKIONA HUMU PAGUMU UNIITE TUSHINDE WOTE...SEHEMU TULIVUJamani naongea haya kwa masikitiko na huzuni kubwa sana hapa. Sina pozi kabisa mwenzenu natafakari bila kupata majibu juu ya sisi wanawake
Kuna sehemu unaeza kuta wanaume wawili watatu wamekaa wao kwa wao wakiongea yao yakiume sijui ya mademu sijui michepuko sijui yule anaringa mara hana lolote nanyinginezo.
Vivohivo kwa wanawake . Wanapokaa wanawake wawili watatu unategemea wataongea story gani kwa mfano???
Hivi unapoambiwa kitu juu ya mtu/ watu fulani ukikaa nacho unawashwa??? Huyooo patupatupatu unapokipeleka moja kwa moja kwa muhusika / ndugu au jamaa yake wa karibu sana unatarajia nini?!!
Hapa kwetu nusura pageuke Uwanja wa kungfu Leo mimi nilijihami nikajifungia zangu ndani tu baada ya kuona hali ya hewa imeharibika make hata kupigana siwezi.
Najuuuuuuuuuuuta kwakweli. Kuanzia sasa nikiwa sina ishu nibora nije kukesha jf kwenye siasa tu sitakosa la kuongea juu ya Bashite stori ya mujini. kuliko kukaa na Ndumila kuwili.
Nimekoma yani kiranga komooo hapa.
kuna watu huwa hawajitambuiAsante ndugu
Bora hata wangechafua hio cv
Ni hapahapa tunapoishi. kuzungukana tu.
Unajua kuna vitu vingine unatakiwa kujiongeza
Sawa wanawake tuna maneno, wanawake tunaongea ila unaangalia mazingira / wahusika
Siyo kila anayekuchekea moyoni anakupenda... Kheri uishi maisha yako uonekane mjinga kuliko kuwa associate na watu wanafaiki... Wengine hawana roho...Ushauri gani huo??
hahaah pole shostKweli kabisa. Nimekoma mwenzenu. mwanaume mwenyewe mkurya mkewe anasema anakaa na panga na fimbo ndani mwee! si alitaka kuniletea matatizo usiku usiku huu huyu jamani!!
Kweli kabisaSiyo kila anayekuchekea moyoni anakupenda... Kheri uishi maisha yako uonekane mjinga kuliko kuwa associate na watu wanafaiki... Wengine hawana roho...
Jamani kuna akili za kujiongeza pia. Sasa unaanzaje kumwambia mtu yanayomuhusu mumewe???kuna watu huwa hawajitambui
Yan wanakua tu kimwili lakin
Akili n zro p1 na,wanawake
Kutokupendana kwenu na kuchukiana
Plus maneno maneno
Lakin mtu akjitambua walau
Atafkiria cha kuomgaea/kufanya
Kabla hajatenda anachotaka
Kufanya
Kwa sababu ni mtu wake kujishtukia lazima... Hata wewe my dear unapohisi mtu wako ana dalili za kunyemelea/kunyemelewa na mtu mwingine kama una mpenda kweli u will react...Kweli kabisa
Huyo mama jamani anajishtukia tu anajihamii mi walaa nishampuuza sitaki hata kumuona
Makosa n kuto kujitambua kwa wakatJamani kuna akili za kujiongeza pia. Sasa unaanzaje kumwambia mtu yanayomuhusu mumewe???