Nakushaur uchukue sample hio upeleke maabara halafu wakupimie madini yafuatayo:-
(a) Gold- Au
(b) Copper- Cu
(c) Iron - Fe
(d) Surphur - S
Ukiona Kati ya madini tajwa hapo juu imeonesha ppm/percentage nyingi zaidi ya nyingine utakuwa umefaham ndani Kuna nini! But kwa Gold ikisoma kuanzia 6g/t au ppm na kuendelea hio utakuwa umeula mwanawanee [emoji3], au Copper ikiwa na kuanzia 20% nayo itakuwa vizuri Sana ! LAKINI Fe ikiwa asilimia nyingi mfano 70% not commercial, uendelee kufanya utafiti zaidi!
All the best mkuu!