Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Mzee wa pisi Kali kuhani Noah Kayafa .[emoji3][emoji3][emoji3] ukiwa na gari una ng'oa mademu eeh
Hakikisha zimelipiwa Kodi then chukua ndingaHapana gari nazimiliki mwenyewe ndo mana wanasema waniachie gari moja mana baada ya kuwa wamekabidhi mradi na wapo wauza vitu nikajua kabisa naachwa kwenye mataa ko nacheza nazo 24hours
. Hofu yangu ni kama walivyosema wadau kuwa huenda zikawa hazijalipiwa kodi nikaachiwa msala
Endelea kuvuta bangi[emoji1]Unawadai 6230usd ambayo kwa haraka haraka ni kama 15M hivi....bei ya vanguard mzee kwasasa ni kuanzia 30M na kuendelea.....Chukua Vanguard hiyo....uza ata kwa 25M unakuwa umerudisha pesa yote unayowadai na faida juu.....
Afu ukishauza hiyo vanguard unicheki PM nikupeleke bar yenye mademu wakali[emoji3][emoji3]
So we ni wa subie ,au suzukiVanguard kitu mwake [emoji122] japo mi toyota brand hata bure sitaki [emoji36]
Mfyuuu eti suzuki[emoji57][emoji57][emoji57]So we ni wa subie ,au suzuki
we jamaa kituko Sana aisee. Au ni Joti? na hivi humu tunatumia Id fake uskute tupo na wakina MpokiPiiiiipiiiiii ...! unasikia anasema mimi unamwambia enhee ingia twende hachomoi mkuu...[emoji1]
Nb:Chuma kiwe cha ukweli sasa sio tubovu tubovu kinanuka petrol
Wabongo tunasahau Mkuu ashawahi kutamka kipindi anahamisisha ununuaji wa bidhaa za ndani akasema bidhaa za nje tutazipiga bei mpaka basiKuna gari hapo ina ongezeko la asilimia 168%. Tatizo nini hawa TRA? Ni kufikisha target ya makusanyo ya kodi ama?
Aseee... hata sijui yaani.. kumbe ndio hivi 😀😀Mzee wa pisi Kali kuhani Noah Kayafa .
Ukiwa na ndinga heshima Kama zote mkuu unateleza Kama winga vile
Umeenda mbali sana mkuu.....hizi pisi za kibongo ata ukiwa na crown ethlete tu zinadataaaUkiwa na chombo kama hiki, mtoto akiingia ndani analowa mwemyewe tu.. [emoji3][emoji3]
Extrovert Mazigazi
View attachment 1672403
Ile brevis uliiuza?Vanguard kitu mwake [emoji122] japo mi toyota brand hata bure sitaki [emoji36]
Mie sijawahi pata mbona, nyie mnawatoa wapi wapenda magari ?Umeenda mbali sana mkuu.....hizi pisi za kibongo ata ukiwa na crown ethlete tu zinadataaa
Toyota hata bure hutaki ! Mbongo raha sanaaa kwa kuvimbaVanguard kitu mwake [emoji122] japo mi toyota brand hata bure sitaki [emoji36]
Ukiwa na chombo kama hiki, mtoto akiingia ndani analowa mwemyewe tu.. [emoji3][emoji3]
Extrovert Mazigazi
View attachment 1672403
IFM, TIA, NIT, UDSM,...na vyuo vinginevyoo[emoji3][emoji3]Mie sijawahi pata mbona, nyie mnawatoa wapi wapenda magari ?
Ebu nipe mbinu chief! Ukifika kwenye hivyo vyuo unafanyaje ?IFM, TIA, NIT, UDSM,...na vyuo vinginevyoo[emoji3][emoji3]
Acha hizo bhana mfate PM mbona simple sana, siku hizi vyuoni watoto full kutembea na pesa adimu umetokea wapi wewe, hirizi ya gari na kama wallet inasoma kaza kwako chochote vyuoni unapata ****, ukimwi na kifua kukuuu na etc....jamvi lipo waziEbu nipe mbinu chief! Ukifika kwenye hivyo vyuo unafanyaje ?
Hakuna mbinu yoyote mkuu....weekend kama hii we washa ndinga pita hapo chuo cha TIA uhasibu....utakuta watoto kibao wanasubiri daladala za kwenda kariakoo, simu 2000, nk...unaangali pisi moja kali... unaipa lift, unachukua namba yake ya simu...mpk hapo utakuwa ushamaliza mchezo[emoji3][emoji3]Ebu nipe mbinu chief! Ukifika kwenye hivyo vyuo unafanyaje ?
[emoji3][emoji3]Acha hizo bhana mfate PM mbona simple sana, siku hizi vyuoni watoto full kutembea na pesa adimu umetokea wapi wewe, hirizi ya gari na kama wallet inasoma kaza kwako chochote vyuoni unapata ****, ukimwi na kifua kukuuu na etc....jamvi lipo wazi
Hakuna mbinu yoyote mkuu....weekend kama hii we washa ndinga pita hapo chuo cha TIA uhasibu....utakuta watoto kibao wanasubiri daladala za kwenda kariakoo, simu 2000, nk...unaangalia pisi moja kali... unaipa lift, unachukua namba yake ya simu...mpk hapo utakuwa ushamaliza mchezo[emoji3][emoji3]