Anaezifahamu vizuri gari aina ya Toyota Vanguard na Harrier msaada tafadhali

Anaezifahamu vizuri gari aina ya Toyota Vanguard na Harrier msaada tafadhali

Hapana gari nazimiliki mwenyewe ndo mana wanasema waniachie gari moja mana baada ya kuwa wamekabidhi mradi na wapo wauza vitu nikajua kabisa naachwa kwenye mataa ko nacheza nazo 24hours
. Hofu yangu ni kama walivyosema wadau kuwa huenda zikawa hazijalipiwa kodi nikaachiwa msala
Hakikisha zimelipiwa Kodi then chukua ndinga
 
Unawadai 6230usd ambayo kwa haraka haraka ni kama 15M hivi....bei ya vanguard mzee kwasasa ni kuanzia 30M na kuendelea.....Chukua Vanguard hiyo....uza ata kwa 25M unakuwa umerudisha pesa yote unayowadai na faida juu.....

Afu ukishauza hiyo vanguard unicheki PM nikupeleke bar yenye mademu wakali[emoji3][emoji3]
Endelea kuvuta bangi[emoji1]
 
Piiiiipiiiiii ...! unasikia anasema mimi unamwambia enhee ingia twende hachomoi mkuu...[emoji1]

Nb:Chuma kiwe cha ukweli sasa sio tubovu tubovu kinanuka petrol
we jamaa kituko Sana aisee. Au ni Joti? na hivi humu tunatumia Id fake uskute tupo na wakina Mpoki
 
Kuna gari hapo ina ongezeko la asilimia 168%. Tatizo nini hawa TRA? Ni kufikisha target ya makusanyo ya kodi ama?
Wabongo tunasahau Mkuu ashawahi kutamka kipindi anahamisisha ununuaji wa bidhaa za ndani akasema bidhaa za nje tutazipiga bei mpaka basi
 
Piiiiipiiiiii ...! unasikia anasema mimi unamwambia enhee ingia twende hachomoi mkuu...[emoji1]

Nb:Chuma kiwe cha ukweli sasa sio tubovu tubovu kinanuka petrol
Ukiwa na chombo kama hiki, mtoto akiingia ndani analowa mwemyewe tu.. 😀😀

Extrovert Mazigazi
20210109_091510.jpg
 
Ebu nipe mbinu chief! Ukifika kwenye hivyo vyuo unafanyaje ?
Acha hizo bhana mfate PM mbona simple sana, siku hizi vyuoni watoto full kutembea na pesa adimu umetokea wapi wewe, hirizi ya gari na kama wallet inasoma kaza kwako chochote vyuoni unapata ****, ukimwi na kifua kukuuu na etc....jamvi lipo wazi
 
Ebu nipe mbinu chief! Ukifika kwenye hivyo vyuo unafanyaje ?
Hakuna mbinu yoyote mkuu....weekend kama hii we washa ndinga pita hapo chuo cha TIA uhasibu....utakuta watoto kibao wanasubiri daladala za kwenda kariakoo, simu 2000, nk...unaangali pisi moja kali... unaipa lift, unachukua namba yake ya simu...mpk hapo utakuwa ushamaliza mchezo[emoji3][emoji3]
 
Acha hizo bhana mfate PM mbona simple sana, siku hizi vyuoni watoto full kutembea na pesa adimu umetokea wapi wewe, hirizi ya gari na kama wallet inasoma kaza kwako chochote vyuoni unapata ****, ukimwi na kifua kukuuu na etc....jamvi lipo wazi
[emoji3][emoji3]
 
Hakuna mbinu yoyote mkuu....weekend kama hii we washa ndinga pita hapo chuo cha TIA uhasibu....utakuta watoto kibao wanasubiri daladala za kwenda kariakoo, simu 2000, nk...unaangalia pisi moja kali... unaipa lift, unachukua namba yake ya simu...mpk hapo utakuwa ushamaliza mchezo[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom