Anahisi mpenzi wake mshirikina

Anahisi mpenzi wake mshirikina

duuh itakuwa mimi sijaelewa swsw au[emoji15]yani

mnakojoleana, wew umetulia unamuangalia tu na haufanyi chochote

anainuka anaenda kutafuta kopo, wew umetulia unamuangalia tu na haufanyi chochote

anarudi na kopo mkononi, wew umetulia unamuangalia tu na haufanyi chochote

anakuingizia kopo katikati ya mapaja, wew upo ila umetulia unamuangalia tu na haufanyi chochote

anakuingizia kidole kuchukua shahawa zake, wew umetulia tu unamuangalia tu na haufanyi chochote

anapekenyua k na kidole akitafuta shahawa zake kila kona ya k, wew umetulia unamuangalia tu na haufanyi chochote

Khee!!

am I missing something here[emoji15]
Acha kumuuliza tena maswali, umeelewa ila unajizima data.
Wewe mdada mwambie asipate shida ya kuingia vidole, atumie kondomu akimaliza abebe mizigo yake akapande shambani kama hizo mbegu zitaota. Vinginevyo achana naye hizo ni dalili mbaya kuna siku atakuingizia Kidole kwenye tundu la jirani!
 
Mi sipendi kuzungumza ,kupigishwa story wala maongezi marefu.Huyo manzi angenifaa kabisa
 
Back
Top Bottom