Anahitaji kukeketwa kwa hiari yake. Je ni kosa kisheria?

Anahitaji kukeketwa kwa hiari yake. Je ni kosa kisheria?

Kama ni kwa maelekezo ya daktari si kosa,unajua nini,wanawake wengine wana vi-clitoris(sijui kama nimepatia spelling) virefu kama uume vile,sasa kwa minajili hiyo,ili kusiwe na uwezekano wa kuwa shemale ni bora kuviondoa kabisa
 
Naombeni kuuliza,

Mwanamke akiamua kukeketwa kwa hiari yake at legal age je ni kosa kisheria?
Je Mwanamke akiamua kubakwa na wanaume sita kwa hiyari yake ni kosa? Je mtu akiamua kujiua kwa hiayari yake ni kosa?
Je ukiamua kwa hiyari yako wenyewe kuendesha gari bila leseni ni kosa?
 
Ni kosa,tena ilitakiwa adhabu yake iwe miaka 200 jela.madhara ya aliyekatwa kwa hiyari na aliyelazimishwa ni sawa.mwanaume tunaona mengi sana maana kuna papuchi tunakutana nazo hadi unamuhurumia aliyeibeba.Mim sipendi kabisa icho kitendo.
 
Keketwa tu ila usionekane au kutangaza maana itakula upande wako
 
Unataka kukata antena sasa signal utapataje ? Yani dishi unataka kulitingisha makusudi !
 
Ni kosa kuondoa stater kwenye gari lililotoka kiwandani likiwa kamili fine ya trafic inakuhusu . Kila ukitaka kuwasha lazima lisukumwe .
 
Mbona safi tu akatwe

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Back
Top Bottom